Kwa hiyo unataka waje viongozi kama kina MWITA WAITARA au kina GODWIN MOLLEL au kina Dr. SLAA au kina MDEE ili muwanunue kama mlivyoinunua CUF, NCCR na ule utopolo mwingine wa vile vyama vya kuunga juhudi.Natoa rai kwa serikali ilifanyie kazi hili suala, sheria ya vyama siasa ibadilishwe. Kila kiongozi wa ngazi ya unyekiti na ukatibu mkuu asiongoze zaidi ya miaka kumi. Hii ni kuondoa ukiritimba wa kufanya vyama ni mali binafsi ya watu.
Pia kusiwe na dalili ya wanafamilia kurithishana madaraka kwenye vyama kama ilivyo kwa Chadema.
Vyama vya siasa ni mali ya uma.
Chadema ni janga la kitaifa,wakuogopwa kama ugonjwa wa ukomaNatoa rai kwa serikali ilifanyie kazi hili suala, sheria ya vyama siasa ibadilishwe. Kila kiongozi wa ngazi ya unyekiti na ukatibu mkuu asiongoze zaidi ya miaka kumi. Hii ni kuondoa ukiritimba wa kufanya vyama ni mali binafsi ya watu.
Pia kusiwe na dalili ya wanafamilia kurithishana madaraka kwenye vyama kama ilivyo kwa Chadema.
Vyama vya siasa ni mali ya uma.
Mbowe hanunuliki? Mbona mwaka 2015 alinunulika?Kwa hiyo unataka waje viongozi kama kina MWITA WAITARA au kina GODWIN MOLLEL au kina Dr. SLAA au kina MDEE ili muwanunue kama mlivyoinunua CUF, NCCR na ule utopolo mwingine wa vile vyama vya kuunga juhudi.
Kwani nyinyi si mlitaka kumpa nchi atawale milele au sio nyinyi sasa kuna ajabu gani nasisi kumuachia chama milele. Mungu akasema nooo this is too much a kamkata moto fasta sasa anaugulia mbinguni kwa dhambi za kujifanya MALAIKA
Mbona hamlalamikii uongozi wa CHAUMA kwani mbowe mnataka nini hanunuliki jamani, kama mlishindwa kumnunua wakati wa MAGUFULI sasa hivi mtamuweza wapi jamani
Sikia ni kwambie kama ulikua hujui siri ya wanachama wa CDM kumng'ang'ania MBOWE ni kuwa hakuna kiongozi ambae angehimili vishindo vya JiWE ila chuma MBOWE kilikomaa mwanzo mwisho
Na tunamuachia chama kwa staili hiyohiyo ya mwanzo mwisho
Sawa mbona huoni UDP ya Cheyo, TLP ya Mrema, NNCCR-Mageuzi na Mbatia, CUF na Lipumba. CCM na Mangula , hawa hauwaoni au wewe ni kipofu? kwa nini chadema tuu kuwa mkweliNatoa rai kwa serikali ilifanyie kazi hili suala, sheria ya vyama siasa ibadilishwe. Kila kiongozi wa ngazi ya unyekiti na ukatibu mkuu asiongoze zaidi ya miaka kumi. Hii ni kuondoa ukiritimba wa kufanya vyama ni mali binafsi ya watu.
Pia kusiwe na dalili ya wanafamilia kurithishana madaraka kwenye vyama kama ilivyo kwa Chadema.
Vyama vya siasa ni mali ya uma.
Umenikumbusha hata wao ujumbe unawahusu, ila Chadema ndio ujumbe wao mahususi.Sawa mbona huoni UDP ya Cheyo, TLP ya Mrema, NNCCR-Mageuzi na Mbatia, CUF na Lipumba. CCM na Mangula , hawa hauwaoni au wewe ni kipofu? kwa nini chadema tuu kuwa mkweli
unapoleta hoja leta na uthibitisho wa vyama vyote siyo kukariri tuu, atwambie Philip Mangula ana miaka mingapi ndani ya CCM? ndiyo aje vyama vingineUnaifahamu historia dogo?
Kama vile Chadema inavyoruhusu wakina Kikwete, Mwinyi, Nauye, Makamba n.k. kurithishana madaraka.Natoa rai kwa serikali ilifanyie kazi hili suala, sheria ya vyama siasa ibadilishwe. Kila kiongozi wa ngazi ya unyekiti na ukatibu mkuu asiongoze zaidi ya miaka kumi. Hii ni kuondoa ukiritimba wa kufanya vyama ni mali binafsi ya watu.
Pia kusiwe na dalili ya wanafamilia kurithishana madaraka kwenye vyama kama ilivyo kwa Chadema.
Vyama vya siasa ni mali ya uma.
Nawe umeandika nini?We umeandika nini?
Natoa rai kwa serikali ilifanyie kazi hili suala, sheria ya vyama siasa ibadilishwe. Kila kiongozi wa ngazi ya unyekiti na ukatibu mkuu asiongoze zaidi ya miaka kumi. Hii ni kuondoa ukiritimba wa kufanya vyama ni mali binafsi ya watu.
Pia kusiwe na dalili ya wanafamilia kurithishana madaraka kwenye vyama kama ilivyo kwa Chadema.
Vyama vya siasa ni mali ya uma.
Wakijani miaka sitini ruksa na mbeleko za dola juu.Natoa rai kwa serikali ilifanyie kazi hili suala, sheria ya vyama siasa ibadilishwe. Kila kiongozi wa ngazi ya unyekiti na ukatibu mkuu asiongoze zaidi ya miaka kumi. Hii ni kuondoa ukiritimba wa kufanya vyama ni mali binafsi ya watu.
Pia kusiwe na dalili ya wanafamilia kurithishana madaraka kwenye vyama kama ilivyo kwa Chadema.
Vyama vya siasa ni mali ya uma.