Ahyan
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 2,702
- 6,332
Nyama ya namna gani..??Mtoto anaona sababu bado anakuwa hana dhambi.
Ukikua mwili unakuwa najisi kwa uzinzi na mengine mengi haswa kula nyama
Nyama ya namna gani..??Mtoto anaona sababu bado anakuwa hana dhambi.
Ukikua mwili unakuwa najisi kwa uzinzi na mengine mengi haswa kula nyama
Hahahanilishakua na option ya kurudi nilipotoka,ila mama angu mdogo akawa anasisitiza tusimkimbie shetani tutampa nguvu😂😂
Mbona mmeuwenga sana uzinzi?Mtoto anaona sababu bado anakuwa hana dhambi.
Ukikua mwili unakuwa najisi kwa uzinzi na mengine mengi haswa kula nyama
tuendelee kujifukizaNakumbuka nikiwa mdogo, angalau miaka 6-7, katika kijiji kimoja ndani ndani huko Tanzania, niliwahi kushuhudia wachawi wakiingia ndani ya chumba nilicholala nyakati za usiku mzito.
Niliweza kuwaona wachawi kila mara walipoingia ndani ya chumba kwa siku tofauti tofauti.
Walikuwa wanawake angalau watatu au wanne waliokuwa uchi na walijifunga vitu kiunoni mfano wa kamba. Niliwatizama katika mwanga hafifu wa giza lakini niliwaona na kuwashuhudia kwa macho yangu.
Ni kumbukumbu halisi ambazo hazikuwahi kufutika mpaka nimekuwa mtu mzima.
Sifahamu kama mtu wa kawaida anapoweza kuwaona wachawi ni jambo linalokubalika katika ulimwengu usiionekana?
Ama huenda katika umri ule, nilikuwa nina uwezo wa kutizama wachawi katika ulimwengu usioonekana?
Baada ya kuanza kukua, sikuweza kuwaona tena.
Niliwashuhudia wakitembea na kuwanga ndani ya chumba. Kila nilipojaribu kupiga kelele, mama yangu alikuja mbio na kisha wachawi walikimbia na nilivisikia vishindo vyao vizito kama vya tembo.
Je, hili linaweza kumaanisha lolote?
[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]Kwamba mleta uzi malaria ilimpanda kichwani?
Kwaiyo unataka kusemaje[emoji23]Kuna miaka na mm nilikua kama wewe...Dk akamwambia mama huyu mwanao ana malaria kali...nikatibiwa since there sikuwah kuona ndo zile homa zinapanda kichwani hiyo ya kupiga piga kelele usk kwa watoto sio nzuri wanasema...
Ivi wachawi na mapepo ni tofauti eeeh maana nakumbuka kwenye bibilia yule jamaa mwenye mapepo alipokutana na Yesu mapepo yakamwambia Yesu turuhusu tuwaingie wale nguruweNdio ila ukila kitimoto hata wachawi hawaji kabisa nyama nyekundu sio nzuri sana ..
Huku kwetu tunawaona wanga wamenasa kwenye mabati deile
Aisee hizo ngoma mimi hua nazisikia lakini huwa nazipuuza najua labda uko kuna vigodoro vya uswahilini vinaendelea tena mi nazisikia mida yaa saa tisa kwenda saa kumi....duu aisee uku Mtwara kiboko[emoji119]