Kuombea mvua wakati ni huu viongozi wa dini sauti zenu zisikike

Mwaka jana ukame ulikuwa wa kutisha kanda ya kaskazini nzima. Basi linasimama pale Bombo na ukitazama wauza matunda hali ni mbaya ya kile wanachokiuza. Nakumbuka niliuziwa machungwa ya kuvundikwa hakukuwa na matunda mengine zaidi. Mwezi kama huu mwaka jana.

Hali naiona haina tofauti sana na mwaka huu, Jua linachomoza saa kumi na moja kasoro usiku na joto kali linaanza mapema kabla hata ya saa nne asubuhi. Ni muendelezo wa mwaka mwingine wenye ukame, mito inakauka na hali ya kijani inapotea. Madhara ya ukame tunayaona kwenye masuala ya maji. Mgao umekuwa ni mkali na umeme unaelekea huko huko.

Miaka ya nyuma tulizoea kumsikia Kiongozi wa Nchi akihamasisha viongozi wa dini wajitokeze ili waombee mvua. Imekuwa ni desturi iliyozoeleka haswa pale Jangwani au mnazi mmoja kuwaona viongozi wa kiislam na kikristo wakimuomba Mungu kwa nguvu kubwa ili ashushe maji yake yenye baraka.

Naona mwaka huu unapita kimya kimya na kiangazi kikali kinaendelea kutesa mtaani. Haiwezekani viongozi wa dini wakaanzisha wao hoja ya kuombea mvua?. Mtandao wao unaozoeleka katika masuala mbalimbali nyeti kusikika ukikemea au kutoa mwongozo naona upo kimya tu!, kama vile kuombea mvua sio suala nyeti.

Au kunakuwa na siasa za bahasha kutoka kwa wenye mamlaka ya kuongoza nchi kuelekea zilipo akaunti za benki za Mababa Askofu?. Pengine tunapowaona wakiitikia hoja za kiserikali nyuma ya pazia kunakuwa na mshiko maalum unaotolewa, nimesema pengine nikiwa sina uhakika na kauli ninayoisema.

Mungu anapoibariki Tanzania kwa kuipa kila aina ya maliasili anakuwa akitushangaa sana tunapomuomba atudondoshee maji yake maalum!, tungekuwa tunawasiliana nae moja kwa moja hakika angetuuliza maswali mengi sana ya msingi.

Lakini siku zote ni mwenye huruma kwa waja wake, hata anapokosewa saba mara sabini humpokea mja wake anayekuja akiwa anafanya toba ya kutoka ndani kabisa ya moyo wake. Huu ukimya wa sasa wakati kinamama na kinadada wanaonekana mitaani na ndoo vichwani unaleta mashaka.
ujinga mtupu
 
Mwaka jana ukame ulikuwa wa kutisha kanda ya kaskazini nzima. Basi linasimama pale Bombo na ukitazama wauza matunda hali ni mbaya ya kile wanachokiuza. Nakumbuka niliuziwa machungwa ya kuvundikwa hakukuwa na matunda mengine zaidi. Mwezi kama huu mwaka jana.

Hali naiona haina tofauti sana na mwaka huu, Jua linachomoza saa kumi na moja kasoro usiku na joto kali linaanza mapema kabla hata ya saa nne asubuhi. Ni muendelezo wa mwaka mwingine wenye ukame, mito inakauka na hali ya kijani inapotea. Madhara ya ukame tunayaona kwenye masuala ya maji. Mgao umekuwa ni mkali na umeme unaelekea huko huko.

Miaka ya nyuma tulizoea kumsikia Kiongozi wa Nchi akihamasisha viongozi wa dini wajitokeze ili waombee mvua. Imekuwa ni desturi iliyozoeleka haswa pale Jangwani au mnazi mmoja kuwaona viongozi wa kiislam na kikristo wakimuomba Mungu kwa nguvu kubwa ili ashushe maji yake yenye baraka.

Naona mwaka huu unapita kimya kimya na kiangazi kikali kinaendelea kutesa mtaani. Haiwezekani viongozi wa dini wakaanzisha wao hoja ya kuombea mvua?. Mtandao wao unaozoeleka katika masuala mbalimbali nyeti kusikika ukikemea au kutoa mwongozo naona upo kimya tu!, kama vile kuombea mvua sio suala nyeti.

Au kunakuwa na siasa za bahasha kutoka kwa wenye mamlaka ya kuongoza nchi kuelekea zilipo akaunti za benki za Mababa Askofu?. Pengine tunapowaona wakiitikia hoja za kiserikali nyuma ya pazia kunakuwa na mshiko maalum unaotolewa, nimesema pengine nikiwa sina uhakika na kauli ninayoisema.

Mungu anapoibariki Tanzania kwa kuipa kila aina ya maliasili anakuwa akitushangaa sana tunapomuomba atudondoshee maji yake maalum!, tungekuwa tunawasiliana nae moja kwa moja hakika angetuuliza maswali mengi sana ya msingi.

Lakini siku zote ni mwenye huruma kwa waja wake, hata anapokosewa saba mara sabini humpokea mja wake anayekuja akiwa anafanya toba ya kutoka ndani kabisa ya moyo wake. Huu ukimya wa sasa wakati kinamama na kinadada wanaonekana mitaani na ndoo vichwani unaleta mashaka.
Soma maneno ya Kagame,huwezi kutatua matatizo ya Afrika kwa maombi na Dua,Mungu hawezi kukupa kitanda,atakupa miti!ni kazi yako kutengeneza kitanda kwa kutumia bongo aliyokupa,
 

Attachments

  • 20221002_201547.jpg
    20221002_201547.jpg
    76.5 KB · Views: 3
Sijawahi ona zile kampeni za upandaji miti kama alizokuwa anahamasisha Mzee R. Mengi.
Bwana Mungu wa Mbinguni amlaze mahala pema penye kaubaridi na kakivuli ka miti huko Peponi,sote tuseme Amen.
 
Mwaka jana ukame ulikuwa wa kutisha kanda ya kaskazini nzima. Basi linasimama pale Bombo na ukitazama wauza matunda hali ni mbaya ya kile wanachokiuza. Nakumbuka niliuziwa machungwa ya kuvundikwa hakukuwa na matunda mengine zaidi. Mwezi kama huu mwaka jana.

Hali naiona haina tofauti sana na mwaka huu, Jua linachomoza saa kumi na moja kasoro usiku na joto kali linaanza mapema kabla hata ya saa nne asubuhi. Ni muendelezo wa mwaka mwingine wenye ukame, mito inakauka na hali ya kijani inapotea. Madhara ya ukame tunayaona kwenye masuala ya maji. Mgao umekuwa ni mkali na umeme unaelekea huko huko.

Miaka ya nyuma tulizoea kumsikia Kiongozi wa Nchi akihamasisha viongozi wa dini wajitokeze ili waombee mvua. Imekuwa ni desturi iliyozoeleka haswa pale Jangwani au mnazi mmoja kuwaona viongozi wa kiislam na kikristo wakimuomba Mungu kwa nguvu kubwa ili ashushe maji yake yenye baraka.

Naona mwaka huu unapita kimya kimya na kiangazi kikali kinaendelea kutesa mtaani. Haiwezekani viongozi wa dini wakaanzisha wao hoja ya kuombea mvua?. Mtandao wao unaozoeleka katika masuala mbalimbali nyeti kusikika ukikemea au kutoa mwongozo naona upo kimya tu!, kama vile kuombea mvua sio suala nyeti.

Au kunakuwa na siasa za bahasha kutoka kwa wenye mamlaka ya kuongoza nchi kuelekea zilipo akaunti za benki za Mababa Askofu?. Pengine tunapowaona wakiitikia hoja za kiserikali nyuma ya pazia kunakuwa na mshiko maalum unaotolewa, nimesema pengine nikiwa sina uhakika na kauli ninayoisema.

Mungu anapoibariki Tanzania kwa kuipa kila aina ya maliasili anakuwa akitushangaa sana tunapomuomba atudondoshee maji yake maalum!, tungekuwa tunawasiliana nae moja kwa moja hakika angetuuliza maswali mengi sana ya msingi.

Lakini siku zote ni mwenye huruma kwa waja wake, hata anapokosewa saba mara sabini humpokea mja wake anayekuja akiwa anafanya toba ya kutoka ndani kabisa ya moyo wake. Huu ukimya wa sasa wakati kinamama na kinadada wanaonekana mitaani na ndoo vichwani unaleta mashaka.
Kiongozi aliepo si chaguo la mleta mvua,

Mungu alileta kiongoz aliekua na maono akaleta na mvua ili kuirahisisha kazi,

wauaji wakafanya yao, mvua ikakata, jua likashika kasi, raia hawajui waseme nini

Maombi yanayoambatana na vitubio ni muhim sana kwa taifa la tz
 
Mwaka jana ukame ulikuwa wa kutisha kanda ya kaskazini nzima. Basi linasimama pale Bombo na ukitazama wauza matunda hali ni mbaya ya kile wanachokiuza. Nakumbuka niliuziwa machungwa ya kuvundikwa hakukuwa na matunda mengine zaidi. Mwezi kama huu mwaka jana.

Hali naiona haina tofauti sana na mwaka huu, Jua linachomoza saa kumi na moja kasoro usiku na joto kali linaanza mapema kabla hata ya saa nne asubuhi. Ni muendelezo wa mwaka mwingine wenye ukame, mito inakauka na hali ya kijani inapotea. Madhara ya ukame tunayaona kwenye masuala ya maji. Mgao umekuwa ni mkali na umeme unaelekea huko huko.

Miaka ya nyuma tulizoea kumsikia Kiongozi wa Nchi akihamasisha viongozi wa dini wajitokeze ili waombee mvua. Imekuwa ni desturi iliyozoeleka haswa pale Jangwani au mnazi mmoja kuwaona viongozi wa kiislam na kikristo wakimuomba Mungu kwa nguvu kubwa ili ashushe maji yake yenye baraka.

Naona mwaka huu unapita kimya kimya na kiangazi kikali kinaendelea kutesa mtaani. Haiwezekani viongozi wa dini wakaanzisha wao hoja ya kuombea mvua?. Mtandao wao unaozoeleka katika masuala mbalimbali nyeti kusikika ukikemea au kutoa mwongozo naona upo kimya tu!, kama vile kuombea mvua sio suala nyeti.

Au kunakuwa na siasa za bahasha kutoka kwa wenye mamlaka ya kuongoza nchi kuelekea zilipo akaunti za benki za Mababa Askofu?. Pengine tunapowaona wakiitikia hoja za kiserikali nyuma ya pazia kunakuwa na mshiko maalum unaotolewa, nimesema pengine nikiwa sina uhakika na kauli ninayoisema.

Mungu anapoibariki Tanzania kwa kuipa kila aina ya maliasili anakuwa akitushangaa sana tunapomuomba atudondoshee maji yake maalum!, tungekuwa tunawasiliana nae moja kwa moja hakika angetuuliza maswali mengi sana ya msingi.

Lakini siku zote ni mwenye huruma kwa waja wake, hata anapokosewa saba mara sabini humpokea mja wake anayekuja akiwa anafanya toba ya kutoka ndani kabisa ya moyo wake. Huu ukimya wa sasa wakati kinamama na kinadada wanaonekana mitaani na ndoo vichwani unaleta mashaka.
WALIOHARIBU MAZINGIRA
WALIOKATA MITI
WALIORUHUSU KULIMA KWENYE VYANZO VYA MAJI
AMBAO NI CCM NA SERIKALI YAKE NDIO WANAPASWA WAKAE CHINI WAOMBEE MVUA MSIWACHOSHE VIONGOZI WETU WA DINI HAWAHUSIKI NA UHARIBIFU HUO
 
Kiongozi aliepo si chaguo la mleta mvua,

Mungu alileta kiongoz aliekua na maono akaleta na mvua ili kuirahisisha kazi,

wauaji wakafanya yao, mvua ikakata, jua likashika kasi, raia hawajui waseme nini

Maombi yanayoambatana na vitubio ni muhim sana kwa taifa la tz
Amka jinyoshe hapo hapo kitandani, kumeshakucha tayari. Simama upambane na siku mpya maishani mwako.
 
Imani ina mambo yake, katika vitu sijawahi kuamini ni hayo maombi ya mvua sijui toka kwa viongozi wa dini. Kama mvua hainyeshi ni kwasababu za mabadiliko ya tabia nchi, na sioni kiongozi yoyote wa dini akifanya lolote la kuleta mvua kwa the so called maombi. Tuchimbe mabwawa na kuvuna maji wakati wa mvua nyingi. Tuache kumjaribu Mungu kwa uzembe wetu. Hakuna kiongozi wa dini anaweza kuomba mvua ije.
Gharama za kuchimba mabwawa ta kuvuna maji inaanzia kiasi gani, kwa makadirio ya shamba la ekari 10
 
Gharama za kuchimba mabwawa ta kuvuna maji inaanzia kiasi gani, kwa makadirio ya shamba la ekari 10

Bwawa kubwa la eneo la heka kumi, au bwawa ndani ya shamba la heka kumi?
 
Mwaka jana ukame ulikuwa wa kutisha kanda ya kaskazini nzima. Basi linasimama pale Bombo na ukitazama wauza matunda hali ni mbaya ya kile wanachokiuza. Nakumbuka niliuziwa machungwa ya kuvundikwa hakukuwa na matunda mengine zaidi. Mwezi kama huu mwaka jana.

Hali naiona haina tofauti sana na mwaka huu, Jua linachomoza saa kumi na moja kasoro usiku na joto kali linaanza mapema kabla hata ya saa nne asubuhi. Ni muendelezo wa mwaka mwingine wenye ukame, mito inakauka na hali ya kijani inapotea. Madhara ya ukame tunayaona kwenye masuala ya maji. Mgao umekuwa ni mkali na umeme unaelekea huko huko.

Miaka ya nyuma tulizoea kumsikia Kiongozi wa Nchi akihamasisha viongozi wa dini wajitokeze ili waombee mvua. Imekuwa ni desturi iliyozoeleka haswa pale Jangwani au mnazi mmoja kuwaona viongozi wa kiislam na kikristo wakimuomba Mungu kwa nguvu kubwa ili ashushe maji yake yenye baraka.

Naona mwaka huu unapita kimya kimya na kiangazi kikali kinaendelea kutesa mtaani. Haiwezekani viongozi wa dini wakaanzisha wao hoja ya kuombea mvua?. Mtandao wao unaozoeleka katika masuala mbalimbali nyeti kusikika ukikemea au kutoa mwongozo naona upo kimya tu!, kama vile kuombea mvua sio suala nyeti.

Au kunakuwa na siasa za bahasha kutoka kwa wenye mamlaka ya kuongoza nchi kuelekea zilipo akaunti za benki za Mababa Askofu?. Pengine tunapowaona wakiitikia hoja za kiserikali nyuma ya pazia kunakuwa na mshiko maalum unaotolewa, nimesema pengine nikiwa sina uhakika na kauli ninayoisema.

Mungu anapoibariki Tanzania kwa kuipa kila aina ya maliasili anakuwa akitushangaa sana tunapomuomba atudondoshee maji yake maalum!, tungekuwa tunawasiliana nae moja kwa moja hakika angetuuliza maswali mengi sana ya msingi.

Lakini siku zote ni mwenye huruma kwa waja wake, hata anapokosewa saba mara sabini humpokea mja wake anayekuja akiwa anafanya toba ya kutoka ndani kabisa ya moyo wake. Huu ukimya wa sasa wakati kinamama na kinadada wanaonekana mitaani na ndoo vichwani unaleta mashaka.
Tunaangamia pia kwa kukosa maarifa.
Kuna uangamizaji mkubwa sana wa miti/misitu. Miti inakatwa hovyo kwa kilimo cha hovyo kabisa na ardhi ikichoka kidogo wanakimbilia ardhi mpya kwa kukata miti.
Hii nimeshuhudia huko manyara.
Watu walazimishwe kulima eneo dogo kwa mbinu za kisasa, mavuno mengi. Kwa njia hii misitu itaokolewa na mvua zitanyesha.
Unaharibuje mazingura halafu unataka upate kwa kuomba!
Kingine tujenge mabwa kuhifadhi maji ya umwagiliaji.
Mvua zinanyesha nyingi na maji yanakwenda baharini kugeuka ya chumvi. Wiki moja tu baada ya mvua kunyesha tunahangaika kutafuta maji.
Tuombe lakini pia tutumie akili alizotupa Mungu.
 
Back
Top Bottom