Kuomba na kunyimwa?

Kuomba na kunyimwa?

Umewahi kuomba jambo fulani ukanyimwa, ilhali unajua kabisa yule mtu alikuwa nalo ila akaamua tu kutokukupa?
(wengine husema akakaza ,akadinda)

Kuomba aibu no uno
Kunyimwa aibu no two
kutangazwa aibu no 3

Kuomba halafu ukanyimwa ni aibu 🤣🤣
Ni kama umejidhalilisha halafu bado husaidiki
Yaani umejianika, umeweka wazi hitaji lako, lakini mwisho wa siku hupewi ng'oo 🤪

Wewe umewahi kuomba nini ukanyimwa? Na ulijisikiaje?

Mara nyingi muombaji akinyimwa hujuta na kutamani asingethubutu kuomba kabisa lakini ni too late 😁

Lakini pia kuna msemo unasema, Ukinyimwa, unajifunza kutafuta vya kwako ( Wahenga🤔)

Lakini sasa najiuliza...
Hivi kweli kila kitu kinaweza kupatikana bila kuomba? 🤪

Au kuna mambo ambayo bila kuomba huwezi kuyapata kamwe? 🤔

Weekend hiyoooo

NB : Kulombana sio anasa

ShesRise_1 🖐
Mtoto cheupe ametapanya vyangu lakini Kadinda.
Weekend imenianzia vibaya sana wakuu.
 
Mimi huwa naomba. Naomba kila kitu! Si tuliambiwa ombeni mtapewa! Na huwa nanyimwa!
:2Head:

Ndiposa BWANA WA MAJESHI anapojitokeza. Mungu wetu hapendi kushea utukufu. So he will wait you fail everywhere!

BWANA YESU ASIFIWE SANA!
 
PETE ZA UCHUMBA SUGU. KUNA DADA MMOJA ALIVAA PETE YA UCHUMBA KWA MUDA MREFU HADI AKAAMUA KUIVUA. SIJUI ALIJIVALISHA MWENYEWE YULE DADA.
Hii sasa kali
hivi peta ya uchumba hua inamaana gani sasa coz unaivaa unajichoresha still unaacwa
 
Hii sasa kali
hivi peta ya uchumba hua inamaana gani sasa coz unaivaa unajichoresha still unaacwa
kuna mambo yanakuwa nje ya uwezo wa binti,
unamlazimisha mtu akuchumbie, anazuga kukuvalisha pete ya uchumba, anaendelea kukutafuna na mwisho wa siku anaku dump shwaaaaaaaa.
 
Ndio kina nan tena huko daslamu ? Hilo neno linatumika mikoa ya kaskazini na Nairobi Kenya kumaanisha msichana
Kuna content create wa Instagram ni mtu wa chuga hua anapenda kutumia hilo neno mamsi akimaanisha mwanamke
Bukavu ni ( mkongo)
So unaweza kuta anamuta mwenzie Bigii ile mamsi nimeipakia bukavu
 
Back
Top Bottom