Kuomba na kunyimwa?

Kuomba na kunyimwa?

iliisha powa

sema jamaa ndo alikuwa mtu wa karibu kumaliza hiki kipengere ila alichomoa kabisa

ila muumba ni mwema liliisha kipengere ni huu msala nilio nao maana ni wa moto sana
Huo nao utaisha kwa neema ya Mungu.
Kama mtu wa karibu amekuweka kwenye msala mkubwa si mwema kwako kamwe.
 
iliisha powa

sema jamaa ndo alikuwa mtu wa karibu kumaliza hiki kipengere ila alichomoa kabisa

ila muumba ni mwema liliisha kipengere ni huu msala nilio nao maana ni wa moto sana
Polee mkuu ukisikia watu wabaya ndio hii
 
Kipendacho rohooo mkuu
Haya maisha ni muhimu sana kuwa na options nyingi kwenye kila. Ukiwa na option moja tu mambo yako mengi yatakwama. Hata huyo ambae anajua unategemea kwake na hauna option nyingine lazima atataka kuku-control
 
Haya maisha ni muhimu sana kuwa na options nyingi kwenye kila. Ukiwa na option moja tu mambo yako mengi yatakwama. Hata huyo ambae anajua unategemea kwake na hauna option nyingine lazima atataka kuku-control
Very true 📌
Leo unaongea madini tupu
 
Umewahi kuomba jambo fulani ukanyimwa, ilhali unajua kabisa yule mtu alikuwa nalo ila akaamua tu kutokukupa?
(wengine husema akakaza ,akadinda)

Kuomba aibu no uno
Kunyimwa aibu no two
kutangazwa aibu no 3

Kuomba halafu ukanyimwa ni aibu 🤣🤣
Ni kama umejidhalilisha halafu bado husaidiki
Yaani umejianika, umeweka wazi hitaji lako, lakini mwisho wa siku hupewi ng'oo 🤪

Wewe umewahi kuomba nini ukanyimwa? Na ulijisikiaje?

Mara nyingi muombaji akinyimwa hujuta na kutamani asingethubutu kuomba kabisa lakini ni too late 😁

Lakini pia kuna msemo unasema, Ukinyimwa, unajifunza kutafuta vya kwako ( Wahenga🤔)

Lakini sasa najiuliza...
Hivi kweli kila kitu kinaweza kupatikana bila kuomba? 🤪

Au kuna mambo ambayo bila kuomba huwezi kuyapata kamwe? 🤔

Weekend hiyoooo

NB : Kulombana sio anasa

ShesRise_1 🖐
Ingia kwenye network upewe kabla hujaomba.

Yani kuna shefa lina fedha kama za mafuta, lina machale kaa Saddam Hussein hilo, kabla wewe hujajua unahitaji nini lenyewe lishakujua na kukupatia 😂😂
 
Ingia kwenye network upewe kabla hujaomba.
Eeh unasema ?
Hebu hiyo network basi🤪
Yani kuna shefa lina fedha kama za mafuta, lina machale kaa Saddam Hussein hilo, kabla wewe hujajua unahitaji nini lenyewe lishakujua na kukupatia 😂😂
Liko wapi sasa acha kuandikia mate basi🤗
 
Back
Top Bottom