Kuomba na kunyimwa?

Kuomba na kunyimwa?

Zaidi ya wazazi wako waliokuleta duniani bila ridhaa yako, hakuna mtu mwingine unaemdai favor yoyote hapa duniani. Kwahiyo kila unachoomba sio lazima upewe bila kujali huyo uliemuomba anacho au hana.
 
Wewe ulikua rafiki yake ila yeye sio rafiki yako

Hakutoboa ki vp ulimnyima?

Alikuchoma baada ya kumnyima hiyo 500k sijaelewa hapa

Polee aisee utapita
Hakuna dili lingine tupate hela?
Mi nina shida na pesa😎
nilimnyima 500k ndo ukawa mwanzo wa kuanza kunipigisha shoti kwa wakubwa

mwanangu hapa nasema nikifanikiwa maliza huu msala aseeh siwezi rudia kupiga dili tena
 
Zaidi ya wazazi wako waliokuleta duniani bila ridhaa yako, hakuna mtu mwingine unaemdai favor yoyote hapa duniani. Kwahiyo kila unachoomba sio lazima upewe bila kujali huyo uliemuomba anacho au hana.
Binadamu ni viumbe wanao ushi kijumuiya (Socialism)
Hutuwezi kujitosheleza mahitaji lazima kuna mengine tupate kwa wenzetu, ndio inaangukia kuomba.
 
Zaidi ya wazazi wako waliokuleta duniani bila ridhaa yako, hakuna mtu mwingine unaemdai favor yoyote hapa duniani. Kwahiyo kila unachoomba sio lazima upewe bila kujali huyo uliemuomba anacho au hana.
📌📌📌 Exactly 💯
 
nilimnyima 500k ndo ukawa mwanzo wa kuanza kunipigisha shoti kwa wakubwa

mwanangu hapa nasema nikifanikiwa maliza huu msala aseeh siwezi rudia kupiga dili tena
Poleee mkuu huyo alikua snitch kitambo watu kama hao uko mbele anakula ya kicwa
 
Naamini hajawahi kukutana na hizo issue za uzazi!
Pole lakini naamini ilipita salama
iliisha powa

sema jamaa ndo alikuwa mtu wa karibu kumaliza hiki kipengere ila alichomoa kabisa

ila muumba ni mwema liliisha kipengere ni huu msala nilio nao maana ni wa moto sana
 
Back
Top Bottom