ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 8,881
- 21,267
- Thread starter
- #21
Shenziii ishia hapa itifaki imezingatiwa 😁Kwa nini niombe? Niombe nini kwanza, labda niombe niishie hapa
Shenziii ishia hapa itifaki imezingatiwa 😁Kwa nini niombe? Niombe nini kwanza, labda niombe niishie hapa
Anazo na ananijua vizuri shindii🤣Mashirima ana taarifa?
Kumbe hua mnabembeleza watu waje kutumia pesa zenu hii mpya😁Tena unambembeleza sana, akale pesa ! 😊
Kulombana hovyo hovyo ni kuuchimbua UKIMWI , sipendi kuomba , najiepusha na kuomba , kwa sababu sitaki shobo
Kumbe hua mnabembeleza watu waje kutumia pesa zenu hii mpya😁
Hii chai ya moto naungua ulimi🤣Mm ntakupa kama mahari 😎
Bwashee ukivunga bila kuomba unajiepusha na mengi , sio lazima uwe na kila kitu mengine unapotezea tu kuepusha shoboMoto/waya umetulia, watu wanauchokoza! 😊
Aisee watu wa mjini nyie 🙌Unapotongozwa maana yake unakaribishwa mezani. 😊
Bwashee ukivunga bila kuomba unajiepusha na mengi , sio lazima uwe na kila kitu mengine unapotezea tu kuepusha shobo
Wapi tena leo nimerudi home na afisa usafirishaji 🏍Wakati unaoandika nilikuona, nilikuwa nimesimama Kwenye daladala then nkakuona kwa nje unatyp Ukiwa kwa gari lako 😎
Unafundishwa uchoyo na huyo mchaga🤣🤣Huu ushauri nauchukua mkuu. Kama washikaji lazima tuwe tunawekana sawa namna hii.
Faida za kutokuomba omba .Huu ushauri nauchukua mkuu. Kama washikaji lazima tuwe tunawekana sawa namna hii.
Acha visirani.Anazo na ananijua vizuri shindii🤣
Mimi sio mchoyo kabisa huwa natoa ila napenda tu kujiepusha na kuombaUnafundishwa uchoyo na huyo mchaga🤣🤣
😁 hapana, ukimuuomba sana anakushikia chini shindii😃Acha visirani.
Aombaye hupewa.😁 hapana, ukimuuomba sana anakushikia chini shindii😃
anae jitahidi ana nafasi kubwa ya kupata kuliko anae omba tuAombaye hupewa.
Ndio ujitahidi kuomba shindii. Bembeleza.anae jitahidi ana nafasi kubwa ya kupata kuliko anae omba tu
Hiyo ya mwisho gongelea na nyundoFaida za kutokuomba omba .
Unajenga heshima yako .
Unaongeza kujiamini .
Unakuwa na uhuru zaidi .
Unajenga tabia ya kufanya kazi kwa bidii.
Mahusiano yanakuwa bora .
Unaepuka aibu na kukataliwa .
Babu yuko wapiNdio ujitahidi kuomba shindii. Bembeleza.