Kuomba na kunyimwa?

Kuomba na kunyimwa?

niliomba 100k mshakaji najua kabisa ana m2 ila akaninyima

shida ilikuwa n kununua vifaa vya uzazi vya mama mtoto, jamaa akanikazia kwa kisingizio cha alikaa benchi sana ( mwaka 1 bila kazi) hivyo anajiimalisha kiuchumi

akaja pata shida ya 500k na anajua kabisa wiki nyuma nilipata hela (alishiriki kufanikisha dili langu akala mgao) hakutoboa hata mia kwenye shida yake

urafiki ukaanza kuchechemea kama sio kufa alipo kuja kunichoma kwenye izo dili nilizo kuwa nafanya nae

hadi leo mwaka wa 3 nahangaika na iyo kesi
 
Inamaana ukiomba inabidi ujiandae kisaikolojia?
Kuna mawili et

Kuomba unajua ila pakuomba huna
Kasheshe 🤣🤣
Kwa lugha rahisi inatakiwa kutengeneza mazingira ya kutaka na si kuomba, unapo omba wewe muombaji unajishusha mwombwaji lazima aringe kidogo,kama moyo wa muombaji ni mwepesi kama wetu najua ishakataliwa hio.
 
niliomba 100k mshakaji najua kabisa ana m2 ila akaninyima

shida ilikuwa n kununua vifaa vya uzazi vya mama mtoto, jamaa akanikazia kwa kisingizio cha alikaa benchi sana ( mwaka 1 bila kazi) hivyo anajiimalisha kiuchumi

akaja pata shida ya 500k na anajua kabisa wiki nyuma nilipata hela (alishiriki kufanikisha dili langu akala mgao) hakutoboa hata mia kwenye shida yake

urafiki ukaanza kuchechemea kama sio kufa alipo kuja kunichoma kwenye izo dili nilizo kuwa nafanya nae

hadi leo mwaka wa 3 nahangaika na iyo kesi
Duuu! Shida ya uzazi si ya kumkatalia mtu aisee.
 
niliomba 100k mshakaji najua kabisa ana m2 ila akaninyima

shida ilikuwa n kununua vifaa vya uzazi vya mama mtoto, jamaa akanikazia kwa kisingizio cha alikaa benchi sana ( mwaka 1 bila kazi) hivyo anajiimalisha kiuchumi
Wewe ulikua rafiki yake ila yeye sio rafiki yako
akaja pata shida ya 500k na anajua kabisa wiki nyuma nilipata hela (alishiriki kufanikisha dili langu akala mgao) hakutoboa hata mia kwenye shida yake
Hakutoboa ki vp ulimnyima?
urafiki ukaanza kuchechemea kama sio kufa alipo kuja kunichoma kwenye izo dili nilizo kuwa nafanya nae
Alikuchoma baada ya kumnyima hiyo 500k sijaelewa hapa
hadi leo mwaka wa 3 nahangaika na iyo kesi
Polee aisee utapita
Hakuna dili lingine tupate hela?
Mi nina shida na pesa😎
 
Back
Top Bottom