Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,554
I get your point. But hisia zangu ni kwamba aloolewa akaachika sio bora. Waloachika huwa wana visirani kwa waume wakijjua kuwa kila mwanaume ni mbaya kama yule alomuacha.ha ha ha... sina maana kua napenda watu waachike, ila thats the reality
watu wanaachana saana sasa hivyo narudi bora alie wahi olewa akaachika
kuliko yule ambae hajaolewa kabisa alafu ni mtu mzima...