gracious mosha
New Member
- Jul 13, 2011
- 2
- 2
Eti jamani, ni kweli kwamba kuolewa ni heshima........na kama kweli how and why?
Kwa sababu siku hizi mabinti wanaolewa hata na wanaume wasiowapenda wakiitafuta hiyo 'heshima'
Watu wamekuwa fake kwa mahusiano wakificha tabia zao halisi ili waolewe, baada ya hapo ndoa zinakuwa ndoano
Watu tunawapenda wapenzi wetu kweli but wanafika mahali wanaogopa........utakuta mtu anasema asijekuwa anafake ili nimuoe...'aheshimike'
Naumia kuona mtu anaacha mpenzi kwa sababu tu ya mapungufu madogo tuu, utakuta anachowaza ni kwamba mbona wanaotaka kuolewa ni wengi? so thi is not perfect, ngoja nitafute mwinginine?
So hata kama ninajiheshimu, nikiwa sina ndoa......bado heshima haijakamilika
Mbaya zaidi hili linahusishwa hata na wazazi, binti yako asipoolewa hujaheshimika.....
Matokeo yake watu tunaanza kuwa desperate kuolewa....
So huna ndoa huna heshima.....bora hata uolewe pasipo furaha ili tuu kusaka heshima.......
Aktiokea tuu mwenye promise ya ndoa ndo anayefaa, hata kama yupo mwingine, but hayupo tayari for nw..
Mimi jamani hili linaniconfuse.......ukikutana na mtu swali la kwanza ni bado hujaolewa? Why?
Kwa sababu siku hizi mabinti wanaolewa hata na wanaume wasiowapenda wakiitafuta hiyo 'heshima'
Watu wamekuwa fake kwa mahusiano wakificha tabia zao halisi ili waolewe, baada ya hapo ndoa zinakuwa ndoano
Watu tunawapenda wapenzi wetu kweli but wanafika mahali wanaogopa........utakuta mtu anasema asijekuwa anafake ili nimuoe...'aheshimike'
Naumia kuona mtu anaacha mpenzi kwa sababu tu ya mapungufu madogo tuu, utakuta anachowaza ni kwamba mbona wanaotaka kuolewa ni wengi? so thi is not perfect, ngoja nitafute mwinginine?
So hata kama ninajiheshimu, nikiwa sina ndoa......bado heshima haijakamilika
Mbaya zaidi hili linahusishwa hata na wazazi, binti yako asipoolewa hujaheshimika.....
Matokeo yake watu tunaanza kuwa desperate kuolewa....
So huna ndoa huna heshima.....bora hata uolewe pasipo furaha ili tuu kusaka heshima.......
Aktiokea tuu mwenye promise ya ndoa ndo anayefaa, hata kama yupo mwingine, but hayupo tayari for nw..
Mimi jamani hili linaniconfuse.......ukikutana na mtu swali la kwanza ni bado hujaolewa? Why?