Kuolewa kwa kulazimisha

Kuolewa kwa kulazimisha

Teh teh..Nikajua katoto amebadilika..Kumbe bado ni yuleyule...Haya ma'am

Nikibadilika ujue sio atoto tena, naanzaje kuibadilikia pesa, si hata mawe yatanishangaa!
 
Hawaeleweki hawa, leo watasema kuolewa sio ishu, kesho wanataka kuolewa na wazungu, keshokutwa wanasugua magoti kumuomba Mungu waolewe...

Mtondo wanalaani kwanini walikutana na hilo balaa mtu, mtondogoo wanaikimbia ndoa wenyewe bila kukimbizwa, thi ndio baba mkwe?
 
brenda18 uko vizuri na hayo mambo yapo weza kuta mtu hatakiwi, manyanyaso, na kupigwa juu but still anaamini huyo ndo mume/mke akiamini kwamba hatopata mwingine bora zaidi kama mwenzi wa maisha.
:angry:

Ukishajitambua.unasimama na kusonga mbele,Mungu ndie anaejua kesho yetu
 
Kwa wadada independent kama brenda18, atoto n.k it can be that easy to move on

Ila kwa wenzangu na mie I can imagine how difficult it can be. Fikiria mtu ndo anakuweka mjini, I mean unamtegemea kwa matumizi kibao, unadhani ni rahisi hivyo kumove on hata kama unaona dalili za kuolewa hazipo? siyo rahisi kama mtoa mada alivyolileta, masuala ya mahusiano yana a lot in it, kwa wengi kuolewa ni destiny tu!!!

Hili ni tatizo kaka angu, mtu anavumilia tu kwasababu hana namna...
Ni uoga na uvivu...walk away from anything less than you
 
Last edited by a moderator:
naongezea ukiona mtu kaugomvi kadogo anasema -naona hatuwezani
- basi tuishie hapa
-ok endelea na mambo yako
akikosea hajali anakwambia kwa hyo??
usipoteze mda ondoka mapema kabla jua halija unguza sana

Kila kukicha sababu haziishi....kwakweli usipoteze wakati,tujifunze kusoma majira ya wakati
 
Hawaeleweki hawa, leo watasema kuolewa sio ishu, kesho wanataka kuolewa na wazungu, keshokutwa wanasugua magoti kumuomba Mungu waolewe...

Mmh mshenga too much generalization....
 
Mmh mshenga too much generalization....
Ofcoz nimefanya generalization kwa wote wenye tabia hizo. Mshenga, kuna mengi ya rohoni watu wanayaficha...laiti kama tungeweza kusomana moiyo...
 
BRENDA 18 asante sana mama kwa ujumbe
 
Last edited by a moderator:
Hahahaa pesa bana..
"It is better crying in BMW,than crying on a bicycle"

Kabisa best, ni heri nipate kimojawapo kuliko nikose vyote, yaani jehanamu naianzia duniani!!!😕 hapana kwakweli.
 
Watu wengi are in such denial of the state of their relationships... Na si wanawake tu.... Wanaume wangapi wameishia kuwa walevi kisa mwanamke. .. ....

Mtu anaona dalili lakini anategemea ataonewa huruma.... Au mwenzake atabadilika .. Mwingine haoni kabisaa... Atatafuta kila sababu......

Nisipomtafuta hanitafuti.... He's just busy.

Kila kitu anakasirika tu na hanijali kabisa.........ana stress tu za kazi

Nisipopanga mimi tukutane hafikirii kabisaa.......anachoka sana so kila akipata muda anataka apumzike

Hajawahi kunihakikishia future ya uhusiano... ........anajifikiria /Ananichunguza

Aliniambia sifai kuwa na mtu kama yeye...... Ana insecurities

Naona yuko na mimi kwa sababu tu yuko lonely, japata anayemtaka......... Atanipenda tu

Ananipiga /ananitukana,..... Ndo kalelewa hivyo lakini ananipenda

Hapo alipo Kuna mtu akimwambia tuoane, ataenda kumgongea pastor usiku wafungishe ndoa. Hujui tu

Jithamini.
Jipende.
Jijali.
Kama ambavyo wewe Kuna mtu anakutafuta juu chini lakini huna habari na hutaki kabisa, muelewe mwenzako.
Wewe si wa kwanza kupenda usipopendwa. Utampta mtakayependana.
 
Back
Top Bottom