Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Hahaaaaa nilishangaa sana ujue, mdada unakuwaje predictable hivyo aisee
Teh haya, tunakuwa unpredictable kuanzia leo basi. Ila vipilipili hatubadilishi
Hahaaaaa nilishangaa sana ujue, mdada unakuwaje predictable hivyo aisee
Kaka tu hatuna kwakweli, ni kwa vile tu ni ndugu lasivyo ningemuacha!
Yani mafile yetu ya undugu nimeyapeleka kwa Jecha, sio kwa kaka anayetupa makavu hivi mmmh
Huu undugu inabidi uchunguzwe upya.
Kabisaaaaaa, sio kwa kutujungua kule. Yani siamini, na alivyo mpole sasa mwee
Wengine uvumilivu ni zaidi ya negative zero, unaona kabisaaa huo wito haupo maana utapata murder case bureee, mambo ya sijui shetani alinipitia(why umerudi peke yako? Mngepotelea hukohuko wote) Sitaki kabisa kuyasikia.
Mimi ukishaona ulipitiwa na shetwani upitilize nae huko huko,zero torelance kwa ujinga....
housegirl ameninong'oneza yeye ni mpole na mkimya sana ila humu nyuma ya keyboard ndio ana ujasiri wa 'kutoa ya moyoni'Mmh aiseee nyie watu nyieeeeee!! nikimuongeza housegirl kwenye hii list ndo siwapatiiga picha kabisaaaa
Mmh aiseee nyie watu nyieeeeee!! nikimuongeza housegirl kwenye hii list ndo siwapatiiga picha kabisaaaa
My kaka mimi kabisaaaa hunipatii picha kweli? Umesahau ulivyoninanga mimi na Heaven Sent wangu? Unatuonea kwavile sisi wapole eti? Teh teh teh teeeeeh!! Mimi na brenda18 ni wapole sanaaaa sema tu hatutaki uduwanzi.
Hivi kuolewa ni dili sana??
My kaka mimi kabisaaaa hunipatii picha kweli? Umesahau ulivyoninanga mimi na Heaven Sent wangu? Unatuonea kwavile sisi wapole eti? Teh teh teh teeeeeh!! Mimi na brenda18 ni wapole sanaaaa sema tu hatutaki uduwanzi.
Yani hadi mimi mpole kaninanga eti
Teh yani hadi kuwataja unawataja kwa woga teh.Nyie kweli dada zangu najua wapole wote, ila brenda18 na housegirl mmh!!
Mmmmh!! I can read bt lines, hata ubishie ukweli ila ulichokimaanisha kimeonekana dhahiri.
Mmh aiseee nyie watu nyieeeeee!! nikimuongeza housegirl kwenye hii list ndo siwapatiiga picha kabisaaaa
Nilisikia wakati anakunong'oneza mkuu, tatizo sijaamini maneno yake
My kaka mimi kabisaaaa hunipatii picha kweli? Umesahau ulivyoninanga mimi na Heaven Sent wangu? Unatuonea kwavile sisi wapole eti? Teh teh teh teeeeeh!! Mimi na brenda18 ni wapole sanaaaa sema tu hatutaki uduwanzi.
Mmh aiseee nyie watu nyieeeeee!! nikimuongeza housegirl kwenye hii list ndo siwapatiiga picha kabisaaaa
Hahah wanatuonea kisa tu hatuna uvumilivu na mambo ya kijinga....
Lol nimesema ni mkimya sio mpole. THERE'S A DIFFERENCE. Niliowachenjia wanajua.
Hahah wanatuonea kisa tu hatuna uvumilivu na mambo ya kijinga....
Sasa uduwanzi nao unauvumilia si utakuwa chizi!!
Hahaha wadada wa kinyaki tuna upole na utulivu uliotukuka. Hatunaga shida na mtu, yani kila kitu sisi "Ndaga fijo" tu na magoti juu. Waache tu kutuonea jamaniHahahaa kaka mito hebu muulize Heaven Sent wadada wa kinyaki wapoje,watulivu tuu hawana shida wala mnatuonea...
