Wiyelelee
JF-Expert Member
- Nov 9, 2012
- 1,071
- 348
- Thread starter
- #21
Nakubaliana na wewe, japo sio kuhusu lugha. Manake kuna wasiojua mother tongue zao kwa kukulia mjini. Kwenye ndoa, tamaduni ni chanzo kikubwa cha migogoro. Kama walau mnaamini kwenye same stuff (najipatia picha nnavyochukia matambiko na babangu Mtambuzi anavyoyafyagilia)
Ila inapendeza sana kama wote mnaelewana kuhusu tamaduni, lugha nk.