Kuolea nyumbani kunadumisha ndoa

Kuolea nyumbani kunadumisha ndoa

kuna raha yake lakini kazi ipo kwetu sisi ambao baba mkinga na mama msambaa.sasa hapo hata ukioa mkinga au msamba bado haina maana ya kabila moja.labda utafute mchanganyiko kama wako.

lokholo ndeti?
 
Hata iweje,either unakubali au hukubali ukweli uko palepale. Jiulize kwa nini baadhi ya ndoa za wazazi wetu zilidumu sana?????????? Sababu mojawapo ni kuoa nyumbani tena mke au mme wa kabila lako.
Tamaduni unakula zinaendana tofauti na changanyachanganya ambayo tunaifanya sasa.
 
mimi niliyeoa MKARA najiona nina faida zaidi kwa maana nimejifunza lugha ya mke wangu, naye kajifunza ya kwangu na watoto wetu wamejifunza lugha yangu na ya mama yao.

Hivyo wamepata faida ya lugha moja ya ziada! Labda suala liwe ni tamaduni ipi wataishika mbali na lugha, hilo linaweza kuwa ni changamoto kwa wote bila kujali mlioana wa kabila moja au makabila tofauti hasa ukizingatia utandawazi.......
 
Ndugu wana JF,

Asalaam aleikum. Mmezoea kuniita mwenye matatizo lakini leo nimekuja na wazo hapa. Mi naona ndoa za wale ambao waliolea kwao au mke na mme wanatoka Mkoa mmoja naona wana raha zaidi kuliko sisi tuliooa makabila mengine haya. Kuna wakati ambapo ungapenda kuongea kilugha, lakini unashindwa. Mfano, mimi akija mdogo wangu nikiongea nae kilugha naona mke anakuja juu nakusema tuongee kiswahili. Utamu wa hadithi ni lugha, na lugha yenyewe ni ile ya mama na sio ya mke. Hili halihusiani na ukabila lahasha kwa maana upendo hauna ukabila wala dini. Lakini nahisi wenzetu wanaoongea lugha moja ndoa zao zinadumu zaidi na upendo unakuwa bomba kila wakati. Wewe unaonaje na mme wako au mke?

Kwa hili nakuunga mkono nami nitafanya hivyo
 
Ndugu wana JF,

Asalaam aleikum. Mmezoea kuniita mwenye matatizo lakini leo nimekuja na wazo hapa. Mi naona ndoa za wale ambao waliolea kwao au mke na mme wanatoka Mkoa mmoja naona wana raha zaidi kuliko sisi tuliooa makabila mengine haya. Kuna wakati ambapo ungapenda kuongea kilugha, lakini unashindwa. Mfano, mimi akija mdogo wangu nikiongea nae kilugha naona mke anakuja juu nakusema tuongee kiswahili. Utamu wa hadithi ni lugha, na lugha yenyewe ni ile ya mama na sio ya mke. Hili halihusiani na ukabila lahasha kwa maana upendo hauna ukabila wala dini. Lakini nahisi wenzetu wanaoongea lugha moja ndoa zao zinadumu zaidi na upendo unakuwa bomba kila wakati. Wewe unaonaje na mme wako au mke?

Kaka hiyo ni 50/50, kama imetulia inatulia kweli, ila ikinuka ni balaa, unaweza hata kushindwa rudi kwenu kama ndoa haiendi sawa!
 
nakuunga mkono asilimia 200% .jamani kuoana lugha moja/kabla moja safi sana.hii ya kutoka kusini unaenda kaskazini ,siikubali kabisaaaaaaaaaaa.Utamu wa pipi mate yako bwana kaa!.raha ya utamu wa lugha ya mama bwana ,mkiijua na watoto wakikijua safiiiiiiiiiiiiiiiii sana.
 
nakuunga mkono asilimia 200% .jamani kuoana lugha moja/kabla moja safi sana.hii ya kutoka kusini unaenda kaskazini ,siikubali kabisaaaaaaaaaaa.Utamu wa pipi mate yako bwana kaa!.raha ya utamu wa lugha ya mama bwana ,mkiijua na watoto wakikijua safiiiiiiiiiiiiiiiii sana.

Kweli nimeipenda hii, kali sana!
 
Hapana wiliyeye, usiingie kwenye ndoa na Mizani ya Adam, nina maana gani usiangalie ndoa ya mwenzio ukafananisha na ya kwako, au ya wazazi wako ukataka na wewe yako iwe hivyo la hasha kaka yangu, Ndoa ni kama nchi na wewe mume ndiye Rais( kichwa cha Nyumba) sasa unatakiwa kwanza uwe strong, pili uwe na maamuzi magumu na mepesi, Tatu penda familia yako no matter what happen inside of ure house.

sikatai sisi wanawake saa zingine tunamatatizo yetu, ila ukiona mkeo hakujali, hakupigii pasi, ukirudi home hakupokei, embu fanya wewe akirudi mkeo mpokee, mjali , nguo zako usikubali housegirl afue fua mwenyewe na piga pasi mwenyewe utaona mkeo atakavyoogopa , na amini Mungu kuanzia hapo atakuwa nafanya hayo majukumu yake.

Lakini kama yeye hafanyi wewe unamwachia Housegirl ndipo hapo unaanza kumtamani , kwa kuwa mnakuwa karibu, usikubali hayo mazingira Wilyeye.

penye redi pana ukwli japo ni vigumu kupractice!
 
hamna uhusiano wa moja kwa moja hapo kaka....hayo mambo ya lugha moja sijui nin ni ya zaman..unawezaje zungumzia wale ambao hawajui lugha za kwao..wamezaliwa dar..mwanzo mwisho bibi, babu wote wamemigrate dar..halafu almost ndugu wote wapo dar na wazazi wamechanganyika makabila? wengine hawajui hata hizo lugha mama? msingi wa ndoa na maelewano mazuri ni wanandoa wenyewe..kuamua kuishi kwa amani na upendo si kwa nadharia na uhalisia..ingawa unasema sio ukabila ila kwa hoja yako huwezi acha kuzungumzia ukabila...kwaio hiii dhambi unayo imiss mzaz itakukosti..ni hayo tu
 
If you follow this line of thought inbreeding (and of course inbreeding depression) is not very far ahead.
 
Ndugu wana JF,

Asalaam aleikum. Mmezoea kuniita mwenye matatizo lakini leo nimekuja na wazo hapa. Mi naona ndoa za wale ambao waliolea kwao au mke na mme wanatoka Mkoa mmoja naona wana raha zaidi kuliko sisi tuliooa makabila mengine haya. Kuna wakati ambapo ungapenda kuongea kilugha, lakini unashindwa. Mfano, mimi akija mdogo wangu nikiongea nae kilugha naona mke anakuja juu nakusema tuongee kiswahili. Utamu wa hadithi ni lugha, na lugha yenyewe ni ile ya mama na sio ya mke. Hili halihusiani na ukabila lahasha kwa maana upendo hauna ukabila wala dini. Lakini nahisi wenzetu wanaoongea lugha moja ndoa zao zinadumu zaidi na upendo unakuwa bomba kila wakati. Wewe unaonaje na mme wako au mke?

Kwa nini basi na wewe usiandike humu hicho unachokiita kilugha ili muende sambamba na hao ambao unataka muelewane nao?
 
Back
Top Bottom