ChescoMatunda
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,232
- 444
I hate perfume.
We share the habit..
I hate perfume.
kama ni kipaji bas wengi hawana..
haswaa wazungu teh teh!
mtu usipooga kwa siku mbili afu unaishi dar inakuwaje aisee...
kuna binadamu wanaishi kwa nguvu za body spray...
hawapendi kuoga hata kama maji yapo!!
Husninyo mpwapwa maji yapo?
Ha ha haaa...wewe je? Kwako kuoga ni kipaji au mazoea au lazima?
huyu ni mazoea yaani lazima aoge hataiwe vp