Kuoga ni Kipaji...?

Kuoga ni Kipaji...?

kiwatengu

Platinum Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
19,488
Reaction score
18,364
kama ni kipaji bas wengi hawana..

haswaa wazungu teh teh!

mtu usipooga kwa siku mbili afu unaishi dar inakuwaje aisee...
kuna binadamu wanaishi kwa nguvu za body spray...

hawapendi kuoga hata kama maji yapo!!
Husninyo mpwapwa maji yapo?
 
Last edited by a moderator:
pafyum inasaidia sana siku hizi
 
wewe ngoja aje Kipaji Halisi akufafanulie maana ya hicho ulichotamka hapo juu
kama ni kipaji bas wengi hawana..

haswaa wazungu teh teh!

mtu usipooga kwa siku mbili afu unaishi dar inakuwaje aisee...
kuna binadamu wanaishi kwa nguvu za body spray...

hawapendi kuoga hata kama maji yapo!!
Husninyo mpwapwa maji yapo?
 
Last edited by a moderator:
wale wenzagu wapiga mnazi akiutwika +jasho la hapo dar =mzoga wa panya
 
Kwa mimi ninayeishi K'mboni huwa nakoga mara mbili maana asubuhi huwa napiga mbizi kuja feri na jioni huwa napiga mbizi kurudi K'mboni...

cc: Nivea, Mentor
 
Last edited by a moderator:
kiwatengu mzima weye,
kule kwetu moshi wanaoga maji ya moto

huko kwa akina Arushaone hata ukiwasha heater maji
hayapati moto,

dar kwa akina Bishanga sijui inakuwaje kwa kuwa muda wote
wako kwenye viti virefu.
 
Last edited by a moderator:
kwa mimi ninayeishi k'mboni huwa nakoga mara mbili maana asubuhi huwa napiga mbizi kuja feri na jioni huwa napiga mbizi kurudi k'mboni...

Cc: nivea, mentor

hahahahaha!! Utajatumbukia siku we haya!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom