Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni ubaguzi...
Mnabagua wageni...mnavagua wakwenu...mwisho wa siku mtajikuta mmezingirwa na hao mliokua mkiwasrma vibaya tu sasa sijui mtafumba macho mpendane nao au mtabaki mkishangaa tu!!
Wazungu kama waafrika tu wapo ambao ni wanapenda kumchukulia mwanaume kama kiongozi wa familia na ambao wanapenda wao ndio wawe viongozi.Hamna kitu/tabia yoyote ambayo ni sahihi wewe kuhusisha na kundi zima la watu wa aina fulani kwasababu hata siku moja huwezi kukuta watu wa aina fulani wote wakiwa na tabia zinazofanana ziwe nzuri au mbaya!!!
Kwahiyo anaetaka kuoa mzungu akimpata ambae anaona ni size yake acha aoe.,.acha kuhatibia watu wengine bahati zao!!
<br />The number of ignoramuses in this forum is beyond astonishing!
<br />
<br />
I guess ignorance is what most of our nation is made of...
Wavezya kutogwa woo!Kijiji gani tena huko? Mie nimezaliwa Sikonge na naishi Sikonge.
Nilikuwa sifahamu kuwa nina mke mwingine. Huyu basi naona Wazazi wangu (Mungu awalaze pema, Amen) waliniozesha Mke na mie wala sikujua wakati nikiwa masomoni. Unajua matatizo ya kuondoka kwenda Form one hata hujabarehe, ndiyo unakuwa umekimbia kwenu kiaina. Unakuja kubarehe uko shuleni. Unaenda hadi JKT, baadaye Chuo kikuu na mwisho unaanza kazi. Sasa wazee wakiona kabinti fulani kanalima sana, kanatwanga sana, kanabeba kuni kibao, kanapenda watoto nk wanaona haka katamfaa Mwanetu Sikonge. Wanakuozesha wakati haupo na wewe ukifika, unakuja na mawazo mengine kabisa na mke wa hivyo anakuwa hakufai tena maana mnaongelea mawimbo tofauti na inaweza kuchukua muda sana kumpa na yeye shule. Ila kama una muda, ni SAFI SANA.
FL, nilikuwa sifahamu kuwa na wewe ni wa SIKONGE. Nashukuru kufahamu. Wavezya sana ilumbu lyane
Kwani wabantu kwa wabantu ndo hakuna mipango ya kando? Na wabantu wanaotoka nje ya mahusiano yao what is missing? Kwa sababu kila siku humu watu wanalia kutendwa. Au sababu za mtu aliyeoa au kuolewa na mzungu zinazomfanya acheat ni tofauti na sababu zinazomfanya mbantu aliyemuoa au kuolewa na mbantu mwenzake? Kama ndo hivyo basi mimi sikulijua hilo.
Nina rafiki yangu, mwanaume, mzungu wake amecorp vizuri kweli, yuko kama mswahili kabisa hana shida, hadi ugali anajua kupika
Wengi waliooa wadhungu wanajuta kisirisiri. Kuna baba alioa mmarekani wakati akiwa masomoni huko miaka ya early 70s mwanamke alivyofika dar kaona maisha ndivyo sivyo karudi kwao na mtoto walozaa wote. Huyu baba ana life nzuri sana sasa hivi na ana familia (watoto wake ni rafiki zangu) lakini mpaka leo hajawahi kumwona mwanae na hajuhi hata atampataje. Watoto wake wa kibongo wenyewe wanasema tuna dada US ila hatumjuhi. Huyu baba anajutia muda wake alopoteza na huyu wife.
Kuna mifano mingi hasa ya wale waliooa wanawake wa ki russia wengi hawajuhi watoto wao kwani wake zao walisepa nao. Mara elfu kuolewa na mdhungu kuliko kuoa. Itakula kwako unless uwe na pesa kweli kweli ndiyo kidogo wanatia adabu.
kuoa mwanamke wa kizungu inabidi ujiandae.
mia.......me naona kama ni mateso tu,wale watu dah
hata apite naked wala sistuki,....ila ipite ngozi nyeusi imeacha kimgongo tu doh,.....
Kuoa mdhungu ni shida,usizani anaeoa kampenda kweli.
huna exposure na umenikasirisha...Acheni ubaguzi...
Mnabagua wageni...mnabagua wakwenu...mwisho wa siku mtajikuta mmezingirwa na hao mliokua mkiwasrma vibaya tu sasa sijui mtafumba macho mpendane nao au mtabaki mkishangaa tu!!
Wazungu kama waafrika tu wapo ambao ni wanapenda kumchukulia mwanaume kama kiongozi wa familia na ambao wanapenda wao ndio wawe viongozi.Hamna kitu/tabia yoyote ambayo ni sahihi wewe kuhusisha na kundi zima la watu wa aina fulani kwasababu hata siku moja huwezi kukuta watu wa aina fulani wote wakiwa na tabia zinazofanana ziwe nzuri au mbaya!!!
Kwahiyo anaetaka kuoa mzungu akimpata ambae anaona ni size yake acha aoe.,.acha kuharibia watu wengine bahati zao!!
huna exposure na umenikasirisha...