We kama kwako ni sawa.........baki na zako.......
Au afuge rasta kabisa...kama hapendelei rasta akaweke wave au super black
Endelea kusubiri, wakina dada wanakuja ......
Alaaaaaah kumbe wenye
vinyweleo ni wadada tuuu!!!!!!mi nilikuwa nafikiri na akina kaka
pia!!!!!!!!!!au wakaka huwa mnazibakiza?haya kama ndio hivyo basi na
nyie wakaka mtupe majibu kwa nini huwa mnazibakiza.
Au ashonee weave......kwa kweli chaguo ni lake.......
Kama wewe unazipenda si ufuge li afro lake?? Au weka dread kabisaMie naamini mwenyezi Mungu hakosei kwa alifanyalo. Binadamu (mwanaume na mwanamke) anapobalehe/kuvunja ungo pana nywele zinaota sehemu yake ya siri lakini utakutana na mdada kanyoa zote, sasa nini faida/hasara ya nywele hizo?​
wewe mdhuri mama mdogo ,khaaaaafuga nywele zote siyo kwenye nanihiii tu.
Mie naamini mwenyezi Mungu hakosei kwa alifanyalo. Binadamu (mwanaume na mwanamke) anapobalehe/kuvunja ungo pana nywele zinaota sehemu yake ya siri lakini utakutana na mdada kanyoa zote, sasa nini faida/hasara ya nywele hizo?​
wewe mdhuri mama mdogo ,khaaaaa