Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,088
- 136,599
Mnaonaje hili swala la kunyoa vikwapa. Wewe unapenda demu anayenyoa makwapa yake? Na vipi wanaume kunyoa makwapa yao, ni ok?
Kwani wanaume hawanyoi makwapa?Na kwa nini baadhi ya wanawake wananyoa makwapa yao?
walioishi zana za mawe walitumia mawe.mie najiulizaga watu wa zamani walikuwa wananyoaje nywele zao hakukuwa na nyembe,makasi na vikatio vyoyvote ambayo vinatumika zama za chuma....
Kwani wanaume hawanyoi makwapa?
Huwa nashave ndio my underarms hair. Sasa kama hujawahi kushave si utakuwa na msitu huko jamani! Lol! sasa kama hunyoi hiyo deodorant huko inakuwaje sasa?Mimi sinyoi...wewe unanyoa?
aisee.....vipi kuhusu mfano wakina dada/mama walipokuwa hedhini? walitumia nini kujisitiri?walioishi zana za mawe walitumia mawe.
Haya maswali mengine!aisee.....vipi kuhusu mfano wakina dada/mama walipokuwa hedhini? walitumia nini kujisitiri?
Mimi sinyoi...wewe unanyoa?
aisee.....vipi kuhusu mfano wakina dada/mama walipokuwa hedhini? walitumia nini kujisitiri?
pia wanaume wanaonyoa ndevu ni mashoga; wasionyoa ndevu mabasha +wanaume wanaonyoa makwapa ni mashoga, hiyo ni moja ya vitambulisho vya ushoga, so they say
mie najiulizaga watu wa zamani walikuwa wananyoaje nywele zao hakukuwa na nyembe,makasi na vikatio vyoyvote ambayo vinatumika zama za chuma....
aisee.....vipi kuhusu mfano wakina dada/mama walipokuwa hedhini? walitumia nini kujisitiri?