Kunusa kufuli za wadada ni ugonjwa?

Kunusa kufuli za wadada ni ugonjwa?

Pole sana, huo ni ugojwa wa kisaikolojia unaitwa "sex deviations!", na "sex pervetions!', kama walivyo wanaume wenye ugojwa wa "peeping tom', wao hupenda kuchungukia wenzao, huku huitwa "kupiga chabo!", na Zenjiwanaitwa ma "Kozi men!".

Sex deviations ziko za aina nyingi, nyingine ni "masochisim!", wenyewe huitwa "macho men!", hawa hufanya mapenzi kama wanabaka, na huderive their satisfactions kwa kusikiliza scerams za agony!.

Ugonjwa huu hguanzia kwa wanusaji wa chupi za watoto, hawa huitwa "paedophilia!".

Ukitafuta utafiti wa Dr. Alfred Kinsey au ukimsoma Dr. Eustice Chesser. aliyeandika kitabu cha "LOVE WITHOUT FEAR!!", utapata mengi kuhusu love deviations!.

Pasco.
NB. Pasco wa jf, ni mtu mwenye very high experiance ya mambo haya!, alioa akiwa 25!, na baada ya kuishi na mke kwa miaka 5 na kupata watoto 2, alihamia UK, kisha US ambako mke alibaki huko. Yeye alirudi Tanzania na kufanya kila aina ya practicles for 10 good years!. By now he is a father of six!.
 
Ukitaka kufaidi zaidi nenda pale ilala sokoni jamaa wakifungua mitumba ya vyupi unanusanusa hadi upate mafua ya chupi!
 
unaumwa ndugu!
dalili zinaonyesha huna mpenzi na umelimbikiza sana hiyo mimbegu hadi imeshaathiri akili yako jaribu kua karibu na hawa viumbe itakusaidia walahu isipite cku hujaliona paja, machuchu kiuno nk. hapo utarudi katika hali ya kawaida na uanze kutafuta mmoja wakupeana nae!

sina uhakika sana ila hizo pia zinakuaga dalili za ushoga au usagaji nakushauri tafuta wanaoyajua zaidi haya mambo ili upate nasaha zao
 
Uoga wa kutongoza unakusumbua ndio maana unajifariji kwa chupi, usipokuwa makini utabaka vitoto uozee jela. Kama upo Dar nenda Mwananyamala karibu na hospitali au Tandale uwanja wa fisi utawakuta wadada wa haja wamejipanga nje ya milango yao mipaja nje, pale hakuna kutongoza unatangulia tu ndani ye anakufuata na kufunga mlango unampa chake shughuli inaanza. Nenda kaka achana na machupi ya kuokota okota usijipe mafua bila sababu.
 
Bavicha mumewavutisha bange hawa vijana wa UNGALIMITED sasa matokeo tunayaona hapa.
 
Huo ni ugonjwa hatari sana unaitwa MWIGULU CHEMBA unapatikana sana pande za ccm

Za demu yeyote au demu wako? Mi nilikuwa nanusa za demu wangu tu (wa zamani). Niliyenae sasa zake hazina harufu hata kidogo, ugonjwa wa kunusa umeisha wenyewe.
 
Jamani mm nitakuwa nina tatizo kwani nikisikia harusu yake basi mimi nawehuka.. Juzi juzi nlienda beach nikaokota moja nyeusi fasta nkaitia kwenye mfuko wa suruali... nkawa nainusa mdogo mdogo.. Je huu ni ugonjwa? Ama wanaume wote ndio tulivyo?

Huo ulionao ni aina fulani ya ugonjwa, ila kilichonishangaza zaidi ni hapo nilipobold, yaani umeenda beach ukaokota chu*** ya mtu usiyemjua na kisha kuitia mfukoni na kuinusu kama akina bibi wanavyonusa ugoro? Hujui kuwa kuna magonjwa mengi tu ambayo yanaambukizwa kwa njia ya kugusa? Huoni kitendo cha kuokota nguo ya mtu usiyemjua una hatarisha afya yako kwa kiwango kikubwa? Una taarifa kuwa kuna magonjwa ya ngozi yanayoambukizwa kirahisi kwa njia hiyo? Kwa nini usingeomba ya girl friend wako ambayo iko salama kufanya mchezo huo usio wa kawaida?

Najiuliza kipuuzi tu, kweli duniani kuna watu "risk takers" wa ajabu sana ....
 
Ugonjwa wa akili huo lok.
Mie nikivua nguo na kabla ya kuvaa lazma ninuse. Lakini nia ni kumonitor tu hali ya usafi. Nikichanganyia ni kile kinyaa cha Nyani Ngabu, its a necessary step lok
cc The Boss
 
Last edited by a moderator:
hivi hata chupi za kiume pia unanusa .hatari kubwa hiyo
jichungeni nae huyo
We mwehu nini, au umeniquote bila kujua?
Hebu vua hiyo miwani usome upya kabla sijakuporomoshea tusi kubwa kama la Serukamba.
Nitake radhi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom