Jerrymsigwa inawezekana kwa kweli...mm mwenyewe gari yangu hainicost kiasi hicho..liko very friendly....cha kushangaza GARI HANA lkn anatuletea hesabu zisizo na mshiko...mimi gari yangu bajeti yake nI 160 tuu kwa mwezi..na service ni baada ya 3month maximum cost 80...ss hizo hesabu zake za wapimi nlinunua gari 2008 sikupata hizo shida hata kidogo for 2yrs, hivi wenzangu mwanunua make gani mbona mnacomplain complain? au ni 3rd hand cars!!
Heaven on Earth mshahara wote unaolipwa huo shoger hujaamua.jibane bane bana sio kula mapizza kila siku....punguza shopping...brazilian....si kila fashion lazma uwe nayo...kwa mwaka tu utaweka hela ya maana...sikushaurI ukope🙂🙂🙂linachosha acha tu........mie sina pesa tu ila ningekuwa nazo kitu cha kwanza ingekuwa gari hayo ya nyumba
yangefatia baadae saaaaaaaaana
Ushauri ni kua atafute kiwanja anunue, kisha anunue hilo gari kwa sababu viwanja vinapanda sana bei kila kukicha pia ni rahisi kuanza ujenzi kama unakiwanja. Hii inamaana utajenga kwa awamu tena kwa kudunduliza mfano msingi ukafata kozi nne, ukamalizia hadi kumi, ukafuata renta na kozi mbili, ukapaauwa kisha finishing taratitaratibu kulingana ela unayopata. nyumba huwa inajengwa hata miaka 10 ila inaisha maana kila hatua huwa inapita. Pia gari ni liability tena ni vampire ktk pesa kama haliingozi pato.
Well said
Ok amka basi ukojoe uende kanisani.Kupanda kwa viwanja sio ishu si salary zinapanda jmn? Acheni woga jmn, hakuna raha ka kuwa na gari, hata viatu haviishi sana na dada zetu vile viatu high heels unaeza vaa(kwa dada zetu)
Ok amka basi ukojoe uende kanisani.
Duh!! Imebidi nicheke tu. Yaani wanunue Gari kisha waiuze wanunue Nyumba!Wanunue gari halafu waiuze wanunue nyumba.
Watu wengi wenye hela hawakimbilii kujenga. Kujenga kuna cost na kufilisi asikwambie mtu! Kwa mishahara mliotaja hapo ni wazi kama wanataka kujenga na kiwanja hawana itawachukuwa muda kumaliza nyumba na inaweza isiishe. Nawashauri wanunue gari ya biashara iwe inaleta hesabu na kupitia gari hiyo wanaweza kujenga!
Duh!! Imebidi nicheke tu. Yaani wanunue Gari kisha waiuze wanunue Nyumba!
Vipi kama watajenga nyumba halafu waiuze ili wanunue gari?
Hahahahaaaaa wanadhani milion Saba unajenga nyumba!!!!! Narudia tena ukinunua Gari kuukuu ujie gharama za uendeshaji zitakua kubwa....ukiwa na Gari that means unauwezo WA kujenga pia. Ni suala la priority na Sababu za kukufanya ununue gari
Acha kupotosha mkuu, kipato chao kimewekwa wazi halafu unasema wakiweza kununua gari wataweza kujenga????
Kimsingi kwa kipato walichonacho wajue wakinunua gari itawachukua muda sana kujenga au wasiweze kabisa. yamkini hata gari yenyewe inaweza kuwa inapatikana barabarani siku chache sana za mwezi...