sungura1980
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,909
- 1,225
bila kusahau umri wa mwalim
nachekaje hii thread jaman
Ubunifu huo Heaven on Earth!Kila siku tunalalamika vyanzo vya mapato,mjasiriamali huyo!Vip yule mwl wako hakuwa maji ya kunde,mtundu,miaka 24,mrefu,mwenye hela,n.k?Hahahahaaaaaa,hii ndio JF
Last edited by a moderator: