sifa zote ninazo ila naimba hip hop hapo vipi ?
Habar,
wiki hii au ijayo...natafuta mwanaume anaejua kuogelea maji mafupi na maji marefu,nahitaji mwalimu mzuri,awe mrefu kidogo,mwili wa mazoezi!,asiwe mweupe sana,akiwa mweusi ni sawa ila usipitilize!!.. ajue utundu wa ndani ya maji,sauti na kujua kuimba ni sifa ya ziada!!.
umri 23~30.!
nikifurahishwa na somo lako nikajua haraka basi utapata ofa ya kuangalia muvi na mimi/kuspend usiku mzima tukipiga stori.
NB; gharama zote kwako.
kwenye kunifundisha gharama kwangu!.
gud,mwisho kiunoni
hhaha nimechekaje eti labda zoba lol
hahha kuna teacher mmoja anaitwa Deo ngoja nikuunganishe uwe tayar kwa mtomaso
Ulimjuaje huyu jamaa?
Kwani uongo?
na we wamfahamu
kweli kabisaa
Huku ni kutangaza nia kwa mfumo mpya badala ya ule uliozoeleka wa "natafuta mwanaume"
ikisimama nini?
Sawa sawa kabisa,welevu wameelewa na pm washaenda,na anaposema,''Gharama ni juu yako" maana yake ni "Ninauza"
mwekundu maswali gani hayo?Kusoma hujui,hata kutazama picha?Umeishaambiwa akiridhika,mtaspend night pamoja!Ikisimama kukutafuna ruksa?