Kunifundisha Kuogelea

Kunifundisha Kuogelea

Duh mama una mambo kama ndo style yako ya kupata mume hii wewe ni mkali asee, umeamua kumtaka mpiga mbizi

sijasema natafuta mme,nahtaji anaejua kuogelea anifundishe! ivo tu
 
Habar,


wiki hii au ijayo...natafuta mwanaume anaejua kuogelea maji mafupi na maji marefu,nahitaji mwalimu mzuri,awe mrefu kidogo,mwili wa mazoezi!,asiwe mweupe sana,akiwa mweusi ni sawa ila usipitilize!!.. ajue utundu wa ndani ya maji,sauti na kujua kuimba ni sifa ya ziada!!.

umri 23~30.!
nikifurahishwa na somo lako nikajua haraka basi utapata ofa ya kuangalia muvi na mimi/kuspend usiku mzima tukipiga stori.

NB; gharama zote kwako.

Niliambiwa kuwa uyaone. Na kweli nayaona, Japo ni kwenye maandishi!
 
nenda katafute wavuvi wa Mwanza wakivua wanaimba au nenda Pemba sio Unguja Pemba au watafute Wakojani sifa Yao wanazomia bila vifaa chini Kabisa kuchokonoa Pweza kuhusu kuimba wao sijui ila wataalamu wakuzamia ila Mwanza Lake Victoria weka tangazo uone foleni.
 
Sawa sawa kabisa,welevu wameelewa na pm washaenda,na anaposema,''Gharama ni juu yako" maana yake ni "Ninauza"

Kwa kizazi hiki cha leo sishangai binti yako wa kidato cha kwanza kurudi nyumbani likizo na kukuomba umtafutie mwalimu wa physics mwenye sura nzuri, mwili wa mazoezi, na aliye single....Wenye wana akili kumkichwa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom