Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 23,877
- 31,652
- Thread starter
- #21
wengine akina nani?Kwanini wengine hawana mnato?
wengine akina nani?Kwanini wengine hawana mnato?
Hili ni fundisho kwa wadada wote humu wa JF ,msiruhusu kungwi alale na wapenzi wenu mtaachika kabla ya muda wenu maana makungwi wengi wanasifika kuwa na K mnato.
Kwa ambao umewashauri?wengine akina nani?
Hizo taratibu za watu,ni kwa makabila machache sio wote.Ujinga haswa .... Na huyo kungwi awabebe tu ... Ufundishaji gani huo wa kulala na wame wa watu!?
Poa.Kwa ambao umewashauri?
una miaka mingapi?Kungwi ndo nani
UKIMWI hauwezi kutuacha salama kwa hali hii sasa huyu Kungwi anakua si mke wa mtu? Alaf inakuaje mwanaume ukubali kufanya nae mapenzi mtu ambae humjui afya yake.Ndo sheria hiyo na unamlipa.
Sawa bibie hata hivyo hayo mambo ya kike siwezi kuyafuatilia sana, tunawaachia nyie wanawake.Nyie watoto wa juzi mambo haya hamyajui.