Kungetokea motivational speaker wa kilimo na ufugaji nisingesita kujiunga

NostradamusEstrademe

JF-Expert Member
Jul 1, 2017
3,032
4,028
Kwa mjadala unaoendelea sasa nimejifunza kitu kikubwa kuwa motivational speakers wengi hasa waliosoma psychology sio lolote ni waganga njaa tu.

Utamfundishaje mtu mbinu za mafanikio na kujiajiri kwa biashara wakati wewe mwenyewe ni fukara wakutupa unaishi kwa kutegemea viingilio vya unaowahubiria?

Angetokea motivational speaker wa kilimo na ufugaji ambaye anahubiri anachokifanyia kazi awe ana taaluma hata ngazi ya cheti sio lazima PhD au hata asiwe amekaa darasani ila anayofanya nayaona singesita kujiunga naye wanasayansi wanakwenda na facts sio bla bla.
 
Twende tukalime ufuta kilo 1 tsh. 1,500/2,000 huu mwaka pili nalima maisha yanaenda
Wapo mkuu ila watu wanadharau kazi ukishasikia kilimo mtu anakuambia achana umasikini
 
Twende tukalime ufuta kilo 1 tsh. 1,500/2,000 huu mwaka pili nalima maisha yanaenda
Wapo mkuu ila watu wanadharau kazi ukishasikia kilimo mtu anakuambia achana umasikini
Ufuta na mpunga, haujawah kumuangusha mtu.....iwe kwa kukodi shamba au kununua
Kukodi eka 50,0000
Kununua eka haizidi 500,000
Japokua kuna watu wanasema ni kamali lakini watu maisha yao yanaenda
 
Ufuta na mpunga, haujawah kumuangusha mtu.....iwe kwa kukodi shamba au kununua
Kukodi eka 50,0000
Kununua eka haizidi 500,000
Japokua kuna watu wanasema ni kamali lakini watu maisha yao yanaenda
Kabisa tunayaendesha na kilimo tukija hapa ni brabra kwa sana watu wanatafuta waliosoma phd wawachangie
 
Kabisa tunayaendesha na kilimo tukija hapa ni brabra kwa sana watu wanatafuta waliosoma phd wawachangie
Kulima inawezekana,watu waoga tu.....
Yani mwajiriwa hawez kosa 3,000,000 ya keenda kununua shamba eka 8 au 9 au 10 kwa ajir ya kilimo
Kwanza ni urith mkubwa sana kwa familia zao,
Zipo sehemu nzuri tu morogoro mf mngeta, mlimba, malinyi, mtimbira mashamba bado bei cheee....

Watu wanadhani ni porin sana ila wajue kuwa sahivi hamna vijiji kama vya zaman kila kijiji kina centre kubwa tu huduma za kijamii kama zotee,

Kwenye hzo eka uko mbeleni ana uwezo wa kujenga kijumba kwa kizuri cha m6 ujenzi bei chee sanaaa, kuna watu wachimba kisima kwa kutoboa mwamba kwa bei isiyozidi 200,000, pia kisima cha kuchimba na mkono hakizidi 200,000

Katika ekari zako huwez kushindwa kufuga mifugo mf mbuzi, ng'ombe, kuku sababu kuna mazingira rafiki ya kuwalisha mfano kuna mashine za kukoboa mpunga nyingi tu pumba ni bureee, kazi kwako kunyonga basker, pikioiki au gari kuzibeba

Chakula kwako sahau njaa, nnakautafit changu nmekifanya huko maporini kuna wasukuma wengi utakuta wanaishi ndanindani ana kingome chake uchwara anaishi vizuri tu, so nikiwa mkubwa nataka na mimi ni convert maisha yale kuwa ya kisasa na mimi niwe na ngome yangu porini...

Kama ntaendelea kuish mjini basi kule ntamwacha dg yoyote asimamie ngome yangu kilimo na mifugo...
 
Kulima inawezekana,watu waoga tu.....
Yani mwajiriwa hawez kosa 3,000,000 ya keenda kununua shamba eka 8 au 9 au 10 kwa ajir ya kilimo
Kwanza ni urith mkubwa sana kwa familia zao,
Zipo sehemu nzuri tu morogoro mf mngeta, mlimba, malinyi, mtimbira mashamba bado bei cheee....

Watu wanadhani ni porin sana ila wajue kuwa sahivi hamna vijiji kama vya zaman kila kijiji kina centre kubwa tu huduma za kijamii kama zotee,

Kwenye hzo eka uko mbeleni ana uwezo wa kujenga kijumba kwa kizuri cha m6 ujenzi bei chee sanaaa, kuna watu wachimba kisima kwa kutoboa mwamba kwa bei isiyozidi 200,000, pia kisima cha kuchimba na mkono hakizidi 200,000

Katika ekari zako huwez kushindwa kufuga mifugo mf mbuzi, ng'ombe, kuku sababu kuna mazingira rafiki ya kuwalisha mfano kuna mashine za kukoboa mpunga nyingi tu pumba ni bureee, kazi kwako kunyonga basker, pikioiki au gari kuzibeba

Chakula kwako sahau njaa, nnakautafit changu nmekifanya huko maporini kuna wasukuma wengi utakuta wanaishi ndanindani ana kingome chake uchwara anaishi vizuri tu, so nikiwa mkubwa nataka na mimi ni convert maisha yale kuwa ya kisasa na mimi niwe na ngome yangu porini...

Kama ntaendelea kuish mjini basi kule ntamwacha dg yoyote asimamie ngome yangu kilimo na mifugo...
vijana tunataka kufuga Dar-es-salaam na wakati tumetoka kijjn kuna ardhi ya urithi sijui tunashindwa wapi, kila mtu na akili zake lakini.
 
Mbona wapo wa kutosha. Tembea uone kuna walioingia kwenye kilimo na ufugaji kwa pupa yakawakuta. Kila kitu kinahitaji ujanja na uelewa
 
Kulima inawezekana,watu waoga tu.....
Yani mwajiriwa hawez kosa 3,000,000 ya keenda kununua shamba eka 8 au 9 au 10 kwa ajir ya kilimo
Kwanza ni urith mkubwa sana kwa familia zao,
Zipo sehemu nzuri tu morogoro mf mngeta, mlimba, malinyi, mtimbira mashamba bado bei cheee....

Watu wanadhani ni porin sana ila wajue kuwa sahivi hamna vijiji kama vya zaman kila kijiji kina centre kubwa tu huduma za kijamii kama zotee,

Kwenye hzo eka uko mbeleni ana uwezo wa kujenga kijumba kwa kizuri cha m6 ujenzi bei chee sanaaa, kuna watu wachimba kisima kwa kutoboa mwamba kwa bei isiyozidi 200,000, pia kisima cha kuchimba na mkono hakizidi 200,000

Katika ekari zako huwez kushindwa kufuga mifugo mf mbuzi, ng'ombe, kuku sababu kuna mazingira rafiki ya kuwalisha mfano kuna mashine za kukoboa mpunga nyingi tu pumba ni bureee, kazi kwako kunyonga basker, pikioiki au gari kuzibeba

Chakula kwako sahau njaa, nnakautafit changu nmekifanya huko maporini kuna wasukuma wengi utakuta wanaishi ndanindani ana kingome chake uchwara anaishi vizuri tu, so nikiwa mkubwa nataka na mimi ni convert maisha yale kuwa ya kisasa na mimi niwe na ngome yangu porini...

Kama ntaendelea kuish mjini basi kule ntamwacha dg yoyote asimamie ngome yangu kilimo na mifugo...
I like it , ngoja nifanyie kazi idea yako maana naona fursa nje nje. Kama huku kijijini wanaishi kwa kilimo tu mwaka mzima je mm ninaekula mshahara mwisho mwezi wa mwezi nafeli wapi?
 
I like it , ngoja nifanyie kazi idea yako maana naona fursa nje nje. Kama huku kijijini wanaishi kwa kilimo tu mwaka mzima je mm ninaekula mshahara mwisho mwezi wa mwezi nafeli wapi?
Wanaishi kwa kilimo, wanajenga kwa kilimo, msimu wa sherehe hauwapiti, walevi wanakunywa kwa kilimo
 
Mbona wapo motivation speaker wa Sungura, kipindi kile kware, kilimo cha mipapai, nyanya za drip irrigation wako wengi tu labda hujakutana nao
Mkuu ahsante kwa taarifa nawatafuta ila nahitaji anayenihubiria nione anachokifanya unajua unaweza ukasoma tu kitabu ukatoa mahubiri?
 
Kuna huyo mmoja alikua naelezea jinsi ufugaji wa samaki unaanza na milioni moja unatengeneza 65mil kwa mwaka. Na kilimo cha iliki milioni 300 kila ukivuna baada ya mwaka na kinalimika hata dar...hajakupa ya kitinguu sasa
 
Kuna huyo mmoja alikua naelezea jinsi ufugaji wa samaki unaanza na milioni moja unatengeneza 65mil kwa mwaka. Na kilimo cha iliki milioni 300 kila ukivuna baada ya mwaka na kinalimika hata dar...hajakupa ya kitinguu sasa
Duuh. Na ukute Kuna watu wakafollow.
Ila naona kwa Sasa Kuna waajiriwa wengi Sana wanawekeza kwenye kilimo na ufugaji.
 
Kulima inawezekana,watu waoga tu.....
Yani mwajiriwa hawez kosa 3,000,000 ya keenda kununua shamba eka 8 au 9 au 10 kwa ajir ya kilimo
Kwanza ni urith mkubwa sana kwa familia zao,
Zipo sehemu nzuri tu morogoro mf mngeta, mlimba, malinyi, mtimbira mashamba bado bei cheee....

Watu wanadhani ni porin sana ila wajue kuwa sahivi hamna vijiji kama vya zaman kila kijiji kina centre kubwa tu huduma za kijamii kama zotee,

Kwenye hzo eka uko mbeleni ana uwezo wa kujenga kijumba kwa kizuri cha m6 ujenzi bei chee sanaaa, kuna watu wachimba kisima kwa kutoboa mwamba kwa bei isiyozidi 200,000, pia kisima cha kuchimba na mkono hakizidi 200,000

Katika ekari zako huwez kushindwa kufuga mifugo mf mbuzi, ng'ombe, kuku sababu kuna mazingira rafiki ya kuwalisha mfano kuna mashine za kukoboa mpunga nyingi tu pumba ni bureee, kazi kwako kunyonga basker, pikioiki au gari kuzibeba

Chakula kwako sahau njaa, nnakautafit changu nmekifanya huko maporini kuna wasukuma wengi utakuta wanaishi ndanindani ana kingome chake uchwara anaishi vizuri tu, so nikiwa mkubwa nataka na mimi ni convert maisha yale kuwa ya kisasa na mimi niwe na ngome yangu porini...

Kama ntaendelea kuish mjini basi kule ntamwacha dg yoyote asimamie ngome yangu kilimo na mifugo...
nnakautafit changu nmekifanya huko maporini kuna wasukuma wengi utakuta wanaishi ndanindani ana kingome chake uchwara anaishi vizuri tu, so nikiwa mkubwa nataka na mimi ni convert maisha yale kuwa ya kisasa na mimi niwe na ngome yangu porini...


(Ukisha kuwa mkubwa uje mrejesho basi)
 
Ufuta na mpunga, haujawah kumuangusha mtu.....iwe kwa kukodi shamba au kununua
Kukodi eka 50,0000
Kununua eka haizidi 500,000
Japokua kuna watu wanasema ni kamali lakini watu maisha yao yanaenda
[/QUOTEr]kamali-kamari huu ni ulemavu
 
Kwa mjadala unaoendelea sasa nimejifunza kitu kikubwa kuwa motivational speakers wengi hasa waliosoma psychology sio lolote ni waganga njaa tu.

Utamfundishaje mtu mbinu za mafanikio na kujiajiri kwa biashara wakati wewe mwenyewe ni fukara wakutupa unaishi kwa kutegemea viingilio vya unaowahubiria?

Angetokea motivational speaker wa kilimo na ufugaji ambaye anahubiri anachokifanyia kazi awe ana taaluma hata ngazi ya cheti sio lazima PhD au hata asiwe amekaa darasani ila anayofanya nayaona singesita kujiunga naye wanasayansi wanakwenda na facts sio bla bla.
Mbona wapo mkuu?
Anakuhamasisha kwa vitendo na kukuonesha anachokifanya kwa kutembelea site na kukuonganisha na waliofanikiwa kupitia yeye.
Biashara2000
 
Back
Top Bottom