Kungekuwa hakuna dini, binadamu walio wengi wangewehuka

Kungekuwa hakuna dini, binadamu walio wengi wangewehuka

Shida si Dini Ni watu kukosa ufahamu

Dini ni mlezi mmoja mwenye dhamana katika ufahamu wa mtu kwenye jamii

Hata asili inaongea vema japo umazaliwa na Wazazi wako kipindi hujiwezi na wala kujitambua.!

Imani yako juu yao na kujihisi salama kwako ukiwa nao hakuoondoi upekee wao kwako na upweke wao kijamii.. Maana wao pia ni kisehemu kidogo kwenye jamii

Mtu hukatazwi kuheshimu ulikotoka ila usilazimishe watu waone kwenu ni kwa pekee

Lete hesabu mezani na faida zake sisi tutaamua kupatambua au kupadharau ulikotoka
 
Ukifatilia kwa ukaribu dini zilianzishwa na GREAT ELITES purposefully kuja kuneutralize na kutoa hope kwenye mikwamo ya kila iitwayo leo kwenye maisha ya mwanadamu.

Siku kama ya Ijumaa,jumamosi na jumapili watu wapo bize na kupayuka,wengine wanaimba kwa nguvu kwa matarajio na imani kwamba mambo yao yatatimizwa kama wanavotamani.

Maisha hayapo fair ila kwakua imani inanguvu kuliko LOGIC hawa GREAT ELITES waliamua kucheza na saikolojia ya mwanadamu kwa kuanzisha DINI na wakaigawanya gawanya ili Ukifeli kuwa huku, utaangukia kule, na ukifeli kule, utaangukia kwingine. All in all, kila mtu awe na sehemu ya kumpa faraja. Maana maisha ya dunia bila faraja, wengi wangekata ringi na nati zingekuwa loose balaa😀

Ila kiuhalisia hakuna kitu kama DINI.Yaani viongozi wote na ELITES wote dini kwao ni tool ya kufikia mipango yao.
Ukweli ni kwamba DINI ndio zinakngoza kwa kuzalisha WEHU
 
Shida si Dini Ni watu kukosa ufahamu

Dini ni mlezi mmoja mwenye dhamana katika ufahamu wa mtu kwenye jamii

Hata asili inaongea vema japo umazaliwa na Wazazi wako kipindi hujiwezi na wala kujitambua.!

Imani yako juu yao na kujihisi salama kwako ukiwa nao hakuoondoi upekee wao kwako na upweke wao kijamii.. Maana wao pia ni kisehemu kidogo kwenye jamii

Mtu hukatazwi kuheshimu ulikotoka ila usilazimishe watu waone kwenu ni kwa pekee

Lete hesabu mezani na faida zake sisi tutaamua kupatambua au kupadharau ulikotoka
Mkuu huo UFAHAMU uko wapi?

Kwenye vitabu vya dini?
 
Bado natafiti hawa macho madogo na ulaya wanawezaje kustahimili stress za kimaisha bila kuwa na wakumuangushia lawama( Shetani)😄
Dini ni jambo la utamaduni zaidi, wao hawajawahi kuwa na utamaduni wa dini wa aina zetu.

Jamii zinazofuta dini za monotheist zinaamini mambo mengi zaidi yanatokana na "Mungu mmoja" na anaweza kila kitu , kuna ukweli mmoja, njia moja tu na maisha ya mbinguni yakiwa ndilo lengo kuu.

Jamii zinazofuata dini miungu mingi (polytheistic) kama za Asia zina amini kuna miungu mingi yenye nguvu tofauti, kuna kweli nyingi, kuna njia nyingi lakini kubwa zaidi dini zao zina muongozo wa kuishi maisha ya sasa kwa utimilifu zaidi (comfortable) kwako na viumbe wengine wanaokuzunguka kuliko maisha ya baada ya kifo. Kwao maisha ya sasa mazuri yenye kila raha ndilo lengo kuu.

Pia kadri jamii zinavyoelimika zaidi, kupata maendeleo na uhuru wa kijamii kiwango cha kuamini dini kinapungua zaidi.
 
Mkuu huo UFAHAMU uko wapi?

Kwenye vitabu vya dini?
We Baada ya baleghe

Kuna mtu alikufundisha katombane na mwengine upate kitu.!

Namaanisha hivi.. mbali na tunakotoka Kuna wengine na vingine vinatusubiri ili kushift

Unaosubiriwa kwa saburi ni utayari wetu
 
Bado natafiti hawa macho madogo na ulaya wanawezaje kustahimili stress za kimaisha bila kuwa na wakumuangushia lawama( Shetani)😄
Kiwango cha dini kinatokana pia na kadri watu wanavyoweza kuwawajibisha watawala wao au kadri watawala wao wanavyoweza kuwajibika kwa raia. Ukiwa katika taifa ambalo una uhakika wa kula chakula kizuri, kusafiri kwenye miondombinu bora kwa haraka bila ajali, kupata haki zako bila connections na kupigia watu magoti utafikiria mambo ya mungu kwa uchache zaidi na ni rahisi zaidi kuwa Atheist au Agnostic kuliko taifa ambalo kupata chakula kizuri, miondombinu bora, huduma za afya, fursa za kiuchumi na haki ni vigumu sana.

Mfano hapa Tanzania watu wanaona kupata kazi nzuri ni muujiza wa kushukuru na kutoa sadaka kabisa kwa sababu ya fursa chache za ajira, ila ukienda Ulaya, Marekani, Australia, Canada, Uarabuni au China sio muujiza kupata kazi kwa sababu fursa za kazi ni nyingi sana hadi nyingine zinakosa watu wanahitaji wahamiaji kuzijaza.
 
We Baada ya baleghe

Kuna mtu alikufundisha katombane na mwengine upate kitu.!

Namaanisha hivi.. mbali na tunakotoka Kuna wengine na vingine vinatusubiri ili kushift

Unaosubiriwa kwa saburi ni utayari wetu
Wewe umedai “shida ni watu kukosa UFAHAMU WA DINI”

Ndio nikakuuliza huo UFAHAMU wa dini watu wanaoukosa uko wapi?

Kunyanduana ni NATURE……. Ipo by instinct kwa sababu existence yetu hapa duniani inategemea sex kwa 100%
 
Wewe umedai “shida ni watu kukosa UFAHAMU WA DINI”

Ndio nikakuuliza huo UFAHAMU wa dini watu wanaoukosa uko wapi?

Kunyanduana ni NATURE……. Ipo by instinct kwa sababu existence yetu hapa duniani inategemea sex kwa 100%
Soma kwa uelewa... bila shaka natumia kiswahili hapa.!

Sijasema moja kwa moja watu kukosa ufahamu wa Dini ila Nimejaribu kutokea na mfano wa wazazi ili kupata uelewa ninachojaribu kuelekeza

Kiswahili chetu bado ni haba

Tumia maumbile kuelewa lugha
 
Bila dini tusingekuwa na hofu yoyote, dunia ingekuwa uwanja wa vita.
Tungeishi kama mimea na wanyama (hayawani).
Kwenye kakibanda anakojipumzisha Bujibuji Simba Nyamaume ningeingia kinguvu tu na kudai kuwa ni pangu, hofu ya Mungu kupitia dini inazifanya gereza zisizidiwe maana ingebaki sheria tu ya kidunia kuwa applied na magereza kuzidiwa
 
Bila dini tusingekuwa na hofu yoyote, dunia ingekuwa uwanja wa vita.
Tungeishi kama mimea na wanyama (hayawani).
Kwenye kakibanda anakojipumzisha Bujibuji Simba Nyamaume ningeingia kinguvu tu na kudai kuwa ni pangu, hofu ya Mungu kupitia dini inazifanya gereza zisizidiwe maana ingebaki sheria tu ya kidunia kuwa applied na magereza kuzidiwa
Dunia tayari ni uwanja vita pamoja na uwepo wa dini.
 
Kiwango cha dini kinatokana pia na kadri watu wanavyoweza kuwawajibisha watawala wao au kadri watawala wao wanavyoweza kuwajibika kwa raia. Ukiwa katika taifa ambalo una uhakika wa kula chakula kizuri, kusafiri kwenye miondombinu bora kwa haraka bila ajali, kupata haki zako bila connections na kupigia watu magoti utafikiria mambo ya mungu kwa uchache zaidi na ni rahisi zaidi kuwa Atheist au Agnostic kuliko taifa ambalo kupata chakula kizuri, miondombinu bora, huduma za afya, fursa za kiuchumi na haki ni vigumu sana.

Mfano hapa Tanzania watu wanaona kupata kazi nzuri ni muujiza wa kushukuru na kutoa sadaka kabisa kwa sababu ya fursa chache za ajira, ila ukienda Ulaya, Marekani, Australia, Canada, Uarabuni au China sio muujiza kupata kazi kwa sababu fursa za kazi ni nyingi sana hadi nyingine zinakosa watu wanahitaji wahamiaji kuzijaza.
📌Noted!
 
Back
Top Bottom