Kundi la 'Wana Mtandao' tunalikomeshaje?

Kundi la 'Wana Mtandao' tunalikomeshaje?

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,774
Reaction score
35,994
Polepole ambayo ameshika nafasi nyeti kwenye chama na Serikali amethibitisha Kuna kundi Kwa jina la wana mtandao, ambalo hilo lipo juu ya serikali yaani Kwa kifupi serikali inatii kundi la wanamtandao

Pole ametaja machache

1. Kundi la wanamtandao liliweza kumtoa uhai Rais awamu ya 5


2. Kundi la wanamtandao lilimuuzia Rostam gas na migodi kadhaa Kwa bei ya nyanya

3. kundi la wanamtandao linambikizia kesi Kisiasa

4. Kundi la wana mtandao limeuza bandari, ngorongoro huko Masai hawana makazi

5. Kundi la Wana mtandao wameweka CCM mfukoni, wamepitisha mgombea kimagendo na hakuna wa kubweka

6. Kundi la wana mtandao limetengeza vyama bandia vya upinzanzani ambavyo vipo kama back up ya ushindi wa viongozi ambao watalinda maslahi Yao

7. Kundi la wanamtandao halimwogopi wala kuheshimu yoyote limefungia makanisa, kuvamia padre Kitima, kubambikia kesi n.k

Tumeona lakini magari ya kifahari, apartments, miradi na anasa za watoto wa wana mtandao, wanavyochezea pesa ikiwa Watanganyika hawana ajira, shule hazina madawati, hospital hazina madawa na vitanda, bei ya mazao ikishuka, utitiri wa Kodi n.k

Wanamtandao basi tulegezee kamba, twafaa
 
Polepole ambayo ameshika nafasi nyeti kwenye chama na Serikali amethibitisha Kuna kundi Kwa jina la wana mtandao, ambalo hilo lipo juu ya serikali yaani Kwa kifupi serikali inatii kundi la wanamtandao

Pole ametaja machache
1. Kundi la wanamtandao liliweza kumtoa uhai Rais awamu ya 5

2. Kundi la wana mtandao lilimtoa uhai Rais Mstaafu awamu ya 5

3 Kundi la wana mtandao lilimuuwa Membe kuhofia labda angetoa Siri za kifo cha JPM

4. Kundi la wanamtandao lilimuuzia Rostam gas na migodi kadhaa Kwa bei ya nyanya

5 kundi la wanamtandao linateka na kuuwa kila anayewakemea rejea Mzee kibao, soka, Mdude, Chagula n.k

6 kundi la wanamtandao linambikizia kesi Kisiasa

7. Kundi la wana mtandao limeuza bandari, ngorongoro huko Masai hawana makazi

8. Kundi la Wana mtandao wameweka CCM mfukoni, wamepitisha mgombea kimagendo na hakuna wa kubweka

9. Kundi la wana mtandao limetengeza vyama bandia vya upinzanzani ambavyo vipo kama back up ya ushindi wa viongozi ambao watalinda maslahi Yao

10. Kundi la wanamtandao halimwogopi wala kuheshimu yoyote limefungia makanisa, kuvamia padre Kitima, kubambikia kesi n.k

Tumeona lakini magari ya kifahari, apartments, miradi na anasa za watoto wa wana mtandao, wanavyochezea pesa ikiwa Watanganyika hawana ajira, shule hazina madawati, hospital hazina madawa na vitanda, bei ya mazao ikishuka, utitiri wa Kodi n.k

Wanamtandao basi tulegezee kamba, twafaa
Tumeona lakini magari ya kifahari, apartments, miradi na anasa za watoto wa wana mtandao, wanavyochezea pesa ikiwa Watanganyika hawana ajira, shule hazina madawati, hospital hazina madawa na vitanda, bei ya mazao ikishuka, utitiri wa Kodi n.k📌🔨
 
Ni lahisi ila litatokea sio kwa kizazi hiki
shutuma zote hizi zilipaswa kupatiwa majibu na vyombo vya usalama na hakuna hata moja wasilolijuwa wanajua yote hatuna ubavu kwa sasa ila
Mungu alipoona maovu ya mwanadamu ni mengi akapunguza mda wa kuishi adi miaka 70
Zaburi 90:10 Siku za miaka yetu ni miaka sabini, Na ikiwa tuna nguvu miaka themanini; Na kiburi chake ni taabu na ubatili, Maana chapita upesi tukatokomea mara.
Lengo ni kupunguza watu wabaya kama hawa
Na siku zinakuja baada ya hawa wazee kufikia ukingoni Tanzania itakuwa kama kenya ya sasa na hawa na watoto wao watakuwa wanaishi ugaibuni
 
Polepole ambayo ameshika nafasi nyeti kwenye chama na Serikali amethibitisha Kuna kundi Kwa jina la wana mtandao, ambalo hilo lipo juu ya serikali yaani Kwa kifupi serikali inatii kundi la wanamtandao

Pole ametaja machache

1. Kundi la wanamtandao liliweza kumtoa uhai Rais awamu ya 5


2. Kundi la wanamtandao lilimuuzia Rostam gas na migodi kadhaa Kwa bei ya nyanya

3. kundi la wanamtandao linambikizia kesi Kisiasa

4. Kundi la wana mtandao limeuza bandari, ngorongoro huko Masai hawana makazi

5. Kundi la Wana mtandao wameweka CCM mfukoni, wamepitisha mgombea kimagendo na hakuna wa kubweka

6. Kundi la wana mtandao limetengeza vyama bandia vya upinzanzani ambavyo vipo kama back up ya ushindi wa viongozi ambao watalinda maslahi Yao

7. Kundi la wanamtandao halimwogopi wala kuheshimu yoyote limefungia makanisa, kuvamia padre Kitima, kubambikia kesi n.k

Tumeona lakini magari ya kifahari, apartments, miradi na anasa za watoto wa wana mtandao, wanavyochezea pesa ikiwa Watanganyika hawana ajira, shule hazina madawati, hospital hazina madawa na vitanda, bei ya mazao ikishuka, utitiri wa Kodi n.k

Wanamtandao basi tulegezee kamba, twafaa
Siasa unafiki achana nao mzee tuelekeze nafikaje huko kupata mke wa kuoa, kwa sasa nipo hapa k9 napiga chai karibu na kambi ya baka.
 
Tumeona lakini magari ya kifahari, apartments, miradi na anasa za watoto wa wana mtandao, wanavyochezea pesa ikiwa Watanganyika hawana ajira, shule hazina madawati, hospital hazina madawa na vitanda, bei ya mazao ikishuka, utitiri wa Kodi n.k📌🔨
Azan zungu. Naibu speaker wa bunge ana miliki magorofa matano kariakoo. ( chanzo,mtu wa karibu)
 
Polepole ambayo ameshika nafasi nyeti kwenye chama na Serikali amethibitisha Kuna kundi Kwa jina la wana mtandao, ambalo hilo lipo juu ya serikali yaani Kwa kifupi serikali inatii kundi la wanamtandao

Pole ametaja machache

1. Kundi la wanamtandao liliweza kumtoa uhai Rais awamu ya 5


2. Kundi la wanamtandao lilimuuzia Rostam gas na migodi kadhaa Kwa bei ya nyanya

3. kundi la wanamtandao linambikizia kesi Kisiasa

4. Kundi la wana mtandao limeuza bandari, ngorongoro huko Masai hawana makazi

5. Kundi la Wana mtandao wameweka CCM mfukoni, wamepitisha mgombea kimagendo na hakuna wa kubweka

6. Kundi la wana mtandao limetengeza vyama bandia vya upinzanzani ambavyo vipo kama back up ya ushindi wa viongozi ambao watalinda maslahi Yao

7. Kundi la wanamtandao halimwogopi wala kuheshimu yoyote limefungia makanisa, kuvamia padre Kitima, kubambikia kesi n.k

Tumeona lakini magari ya kifahari, apartments, miradi na anasa za watoto wa wana mtandao, wanavyochezea pesa ikiwa Watanganyika hawana ajira, shule hazina madawati, hospital hazina madawa na vitanda, bei ya mazao ikishuka, utitiri wa Kodi n.k

Wanamtandao basi tulegezee kamba, twafaa
Umeanza kujiandaa kwa ajili ya Sup na uongo gani kuwaomba ruhusa wazazi. Mengine tuachie sie ambao tulisha maliza shule
 
Ni ngumu , jinsi nilivyosikiliza wako vizuri sana tena sana yani wanaweka mgombea akikataliwa wanampeleka upinzani na huku pia wanaweka mwingine na ikitokea wameshindwa wanakuja na plan C “sabotage + conspiracy “
 
Njia Pekee ya kuweza hili kundi ni KUPATA RAIS timamu alie tayari kuvaa MABOMU kwa ajili ya TAIFA lake.

nadhani siku 1 itafika Atapopatikna Rais mithili ya JPM atalindwa sio tu na usalama ila Atakua Rais wa kwanza kulindwa na Watanzania.

YULE MWAMBA WA burkina faso analindwa hadi na kuku,ukitaka kuwaza ujinga tu JOGOO anawika "hahaha" sasa hili taifa wakati huo utafika.

Mtu Pekee wa kumaliza hili kundi ni RAIS sina UHAKIKA kama kuna RAIS kati ya waliopo,waliopo jela kina lissu au wengine wote wanaweza wadhibiti HILI KUNDI.

hili kundi ni lazima ujikatae ili kuliweza ila ukiendekeza maslahi tu,Hili kundi umeisha.
 
Njia Pekee ya kuweza hili kundi ni KUPATA RAIS timamu alie tayari kuvaa MABOMU kwa ajili ya TAIFA lake.

nadhani siku 1 itafika Atapopatikna Rais mithili ya JPM atalindwa sio tu na usalama ila Atakua Rais wa kwanza kulindwa na Watanzania.

YULE MWAMBA WA burkina faso analindwa hadi na kuku,ukitaka kuwaza ujinga tu JOGOO anawika "hahaha" sasa hili taifa wakati huo utafika.

Mtu Pekee wa kumaliza hili kundi ni RAIS sina UHAKIKA kama kuna RAIS kati ya waliopo,waliopo jela kina lissu au wengine wote wanaweza wadhibiti HILI KUNDI.

hili kundi ni lazima ujikatae ili kuliweza ila ukiendekeza maslahi tu,Hili kundi umeisha.
Kumbukumbu ya kutisha
March 17,2021
 
Mtu aliyekua amevaa njuga kuwadhibiti si mlikua mnamtukana na kumlaani kila siku.
Alimdhibiti nani? Zaidi ya kutaka kutawala muda mrefu? Alideal na wapinzani ambao walikuwa wakimpa ushauri ili Nchi iwe na balanced system. Kimsingi hao mnaowasingizia walilelewa na mfumo wa huyo huyo
 
Back
Top Bottom