Kundi la Vitimbi

Kennedy

JF-Expert Member
Dec 28, 2011
49,028
54,321
Mwenye kujua historia ya kundi tajwa hapo juu tafadhali hebu atujuze. Kuna wakati niliwahi kumuona Mzee Onjwangi km amebadilika yaani c yule wa zamani,kuna watu kama Mama Kayaii, Mwara n.k. Nikundi zuri sana kwa uchekeshaji nadhani itv walikuwa wanarusha kipindi hiki lakini kwasasa sikioni. Msaada kulijua kundi hili.
 
Mwenye kujua historia ya kundi tajwa hapo juu tafadhali hebu atujuze. Kuna wakati niliwahi kumuona Mzee Onjwangi km amebadilika yaani c yule wa zamani,kuna watu kama Mama Kayaii,Mwara n.k. Nikundi zuri sana kwa uchekeshaji nadhani itv walikuwa wanarusha kipindi hiki lakini kwasasa sikioni. Msaada kulijua kundi hili.
Hata mimi nilikuwa mpenzi saana wa hivyo vichekesho lakini kwa sasa hawakongi nyoyo kama zamani kwani mzee ojwang na mama kayaii wanaonekana kuzeeka na ile mikiki mikiki hawaiwezi tena mwala naye kaingia kwenye utu uzima na sasa anajiita inspector.

Wachekeshaji wa kenya ambao wapo chati sasa na ninawakubali kuwa wanachekesha sana na kuelimisha ni VIOJA MAHAKAMANI. hawa ni tofauti na comedy zetu za kibongo ambapo mtu anakuwa anajisifu na kuongea mwanzo mwisho bila ya kuwa na ujumbe wanaoufikisha kwenye jamii. ITV sijui kwa nini hawaonyeshi sikuhizi vioja kama hauna haunasi KBC ndo basi huwezi kuwafaidi akina OLEXANDRER na wenzake
 
Hata mimi nilikuwa mpenzi saana wa hivyo vichekesho lakini kwa sasa hawakongi nyoyo kama zamani kwani mzee ojwang na mama kayaii wanaonekana kuzeeka na ile mikiki mikiki hawaiwezi tena mwala naye kaingia kwenye utu uzima na sasa anajiita inspector.Wachekeshaji wa kenya ambao wapo chati sasa na ninawakubali kuwa wanachekesha sana na kuelimisha ni VIOJA MAHAKAMANI. hawa ni tofauti na comedy zetu za kibongo ambapo mtu anakuwa anajisifu na kuongea mwanzo mwisho bila ya kuwa na ujumbe wanaoufikisha kwenye jamii.ITV sijui kwa nini hawaonyeshi sikuhizi vioja kama hauna haunasi KBC ndo basi huwezi kuwafaidi akina OLEXANDRER na wenzake

Mkuu Bado Unawategemea ITV hadi leo eenh! kama unapenda Burudani nunua Decoder za Maana Mkuu utayapata yote hayo ila usijitusu kununua Decoder ya Star Times Utajuta kwani badala ya kuburudisha yenyewe ika kera..! Channel za KBC utazipata kwenye DSTV na Decoder zinginezo... ITV Mwisho wa kuwa on Air ni December 31 kwa Mnaotumia Analogue Transmission Kwenye Tv Zenu.
 
Mkuu Bado Unawategemea ITV hadi leo eenh! kama unapenda Burudani nunua Decoder za Maana Mkuu utayapata yote hayo ila usijitusu kununua Decoder ya Star Times Utajuta kwani badala ya kuburudisha yenyewe ika kera..! Channel za KBC utazipata kwenye DSTV na Decoder zinginezo... ITV Mwisho wa kuwa on Air ni December 31 kwa Mnaotumia Analogue Transmission Kwenye Tv Zenu.
poa dudu nashukuru kwa ushauri wa busara
 
Nimetazama VITIMBI kuna mtu anacheza nafasi ya Mzee Ojwangi kuna mtu yoyote anaejua Mzee Onjwangi ndiyo kastaafu Uigizaji.


Watu toka Kenya njoo mtujuze vema
.
 
Wachekeshaji wa kenya ambao wapo chati sasa na ninawakubali kuwa wanachekesha sana na kuelimisha ni VIOJA MAHAKAMANI. hawa ni tofauti na comedy zetu za kibongo ambapo mtu anakuwa anajisifu na kuongea mwanzo mwisho bila ya kuwa na ujumbe wanaoufikisha kwenye jamii.ITV sijui kwa nini hawaonyeshi sikuhizi vioja kama hauna haunasi KBC ndo basi huwezi kuwafaidi akina OLEXANDRER na wenzake

Kweli mkuu, vioja mahakamni wapo juu sana!
 
Vitimbi Ilikuwa Matata Mwanzoni Mwamiaka Ya Tisini Walipo Kuwepo Kina Maliwasa, Otorongongo Na Masaaku Ilikuwa Inabamba Vibaya
 
Kweli kila jambo na wakati wake lazima
tukubali maana tunavyoona miti inazeeka
basi ni wazi nasi ni vile vile muda utafika


Tunapoona sura mpya kwenye kundi
ama kupoteza umaarufu lazima tukubali
matokeo kuwa "Time will Tell"
 
Hata sasa vikirudi wala hamtakitazama kama mnavyokitamani...kipindi kile stations chache,comedian wachache hakuna wa kucompare!!! but nw nani ana muda TV mshaizoea...na ndio maana Tamthiliya ya Balbarita iliangaliwa na kila mtu..leo humu wote mna jiita sio wa kuangalia tamthiliya eti ni ulimbukeni
 
Kenya bado inao wachekeshaji bora zaidi wenye vipaji pengine kuliko ninaowaangalia hapa kwetu. Ebu mwangallie huyu mmoja wao anavyojua kucreate comedy zake na mantiki zililzomo halafu linganisha na wa hapa tz. Mtafute kwenye youtube: ayeiyaa a.k.a . Ama mtafute mnigeria kwenye youtube anaitwa basketmouth(stand up part 1,2, 3) bado hutakuwa unapungukiwa na kuwakosa kina ojwang.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom