pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Na hizo chuki zikizidi ndio wanazidi kutesekaBasi ww ni mmoja ya watu niliyo sema wanatakiwa kupimwa akili. Hivi hao wanao itwa waislam yenye misimamo mikali ulisha jiuliza silaa kali zenye thamani za mabilion ya fedha wana zitoa wapi?
Hivi ulisha jiuliza mabilion ya fedha wanayo tumia kuwashawishi vijana ili wajiunge nao na wanazo waliwalipa wapiganaji wao,kununulia mafuta wanazitoa wapi?
Hivi ulisha jiuliza ni nani anaye wapa taarifa za kijasusi kiasi cha kujua jinsi ya vikosi vya selikali vimejipangaje na vina silaa gani ?
Hivi hujiulizi ya kwamba itawezekanaje,IS itoke mashariki ya kati kote waruke nchi zote hizo waje kuanzisha kundi msumbiji tena sehamu yenye utajiri wa gesi.
Siku zote huwa wanasema chuki ni mojawapo ya upumbavu mkubwa sana. Kwahiyo kwa sababu ya chuki zako kwa waislam huwezi kuchukua muda kufikiria na kujiuliza maswali hayo niliyo kuuliza.