KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,220
- 56,867
Mpk waingie mipakani mwetu hawawezi tu nunua kesi hivihivi utaiweka nchi pabaya Vita si lelemama ndugu.. inagharama zake Tena kubwa tu..Jwtz ni wakat sasa wa kuwasaidia wana mozambique
Mpk waingie mipakani mwetu hawawezi tu nunua kesi hivihivi utaiweka nchi pabaya Vita si lelemama ndugu.. inagharama zake Tena kubwa tu..Jwtz ni wakat sasa wa kuwasaidia wana mozambique
hatari sana mazee. Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, tunawategemea sana. Mimi naamini mtatuvusha.wameua mamia ya wakazi kwa kuchunja na baadhi ya wanajeshi hvyo mji huo mpka sasa hauna Raia yoyote
Wana shift frm DRC to MozambiqueNaungana nawe mkuu.
Hawa ni wa Marekani wananyapia miradi eneo hili. Hakuna cha IS wala babu yake IS
Koloni la mmarekani Africa ni lipi?.China hakuwahi kuwa na koloni Afrika
Wala hapigi atu za kimaendeleo kwa kutumia mtutu wa bunduki kupora mali!
Russia hakwenda kuibomoa Iraq wala Libya!!
nchi za SADC kazi ipo tusikubali wahuni km hawa watuchezee akili wanaturudisha nyuma sana..Bandari muhimu ya Mocimboa da Praia , ya Msumbiji yatekwa na wapiganaji wa ' kundi la IS ' Wanamgambo wanaotajwa kuwa na uhusiano na kundi la Islamic State wamekamata bandari yenye ulinzi mkali nchini Msumbiji baada ya mapigano ya siku kadhaa
Vyombo vya habari vya Msumbiji vimesema askari wa serikali waliokuwa katika mji wa kaskazini wa Mocimboa da Praia walikimbia, wengi wao wakiondoka kwa boti, baada ya wapiganaji wa kiislamu kuishambulia bandari ya mji huo. Mji huo uko karibu na kituo cha mradi wa gesi asilia wenye thamani ya dola za Kimarekani milioni 60m
Katika miezi ya hivi karibuni wapiganaji hao wamekuwa wakitwaa maeneo kadhaa ya miji ya kaskazini , na kuwafanya maelfu ya watu wa huko kukimbia makazi yao . Shambulizi la safari hii dhidi ya vikosi vya serikali ya Msumbiji , linaonekana kupangwa vizuri na washambuliaji . Mashambulizi katika jimbo la Kaskazini la Cabo Delgado yalianza tangu mwaka 2017 , lakini mwaka huu yameongezeka baada ya kundi linaloihusika la Ahlu Sunnah Wa - Jama, kutangaza utii kwa kundi la IS
View attachment 1535770
====
Pia soma
US: Kikundi kinachodhaminiwa na IS cha Msumbiji kisipodhibitiwa, uasi unaweza kuhamia Tanzania
"We are jihadits,deployed ensuring that Islamic religion is not underrated".Hivi hawa wenzetu wa pande ile ya imani kwa nini wanahusudu kutoa uhai wa mtu asiye na hatia
Mungu awapiganie wana Msumbiji
Yale yale ya MKIRU! Mkuranga, Kibiti na Rufiji
Swali zuri!..Nje na ulichokiandika hapa.
hivi ni kwanini tunapaswa kudhani mmarekani pekee ndiye anaweze kufadhili magaidi/ waarifu na sio nchi nyingine?.
ama marekani pekee ndiye uhitaji na materials na sio nchi nyingine?.
Unawezaje kuwa na Akaunt JF huku unashindwa kujua kuwa hao ni USHivi hawa waislamu wanataka nini hasa dola ama?
Mkuu haya uliyoandika hapa yana ukweli?...🙄🙄🙄...Hakuna cha waislam wala nani, Hapa kuna resources zinatafutwa kwa nguvu ili zichimbwe kwa bei che au bure..kama mnakumbuka Central Africa Republic ambako waislam wako less than 5% kuna Kundi lilijiita anti Seleka wakawa wanapigana kutoka mpaka wa Chad kumuondoa aliekua rais François Bozize na walifanikiwa kumuondoa ,walikua wakidai kwamba wanahitaji an equal representation in all public sectors.
Wale watu media zilituaminisha kwamba ni wa Tuareg from the northern parts, lakin walikua wanajeshi wa nchi fulani waliokuwa kwenye kikosi cha UN Darfur na kamanda mkuu wa UN alikua kutoka nchi hiyo.
Wanajeshi hao walitafuta vibaraka wachache ambao watakua wasemaji wa Kundi hilo ila vitaa ilipiganwa na jeshi hilo mpaka nchi ikatekwa. Walikua wanapewa all financial support na marekani.
Lakini si unaishi nao mtaani?Hivi hawa wenzetu wa pande ile ya imani kwa nini wanahusudu kutoa uhai wa mtu asiye na hatia
Mungu awapiganie wana Msumbiji
Kuna watu bado wanamwona marekani kama MTU mwema kibaya zaidi uelewa wao juu ya siasa za kimataifa ni zeroTuna safari ndefu sana kuwa na watu wenye mawazo kama yako!
Kwa tarifa yako hapo tukitia mguu tunakula vikwazo visivyo julikana!
Unaweza kukuta kuna baadhi ya nchi miongoni mwa nchi za sadc zina liunga mkono kundi hilo kama Rwanda anavyo fanya nchini DRC.nchi za SADC kazi ipo tusikubali wahuni km hawa watuchezee akili wanaturudisha nyuma sana..
ila kuna baadhi ya nchi ni very weak isee..
Unaweza kuthibitisha?Unawezaje kuwa na Akaunt JF huku unashindwa kujua kuwa hao ni US
Una uhakika kama nailenga marekani?ujahitaja marekani, lakini ndio mlengo wako uliko.