mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 22,633
- 8,417
Vifaru vya kazi gani??Jeshii anzeni kusogeza vifaru jet fighting na zana za kiviti raia wakakamavu hii show haiwahusu kaeni kwenye vituo vyenu mtulie msije mkala mirungula mkawa mainformer wa majamaa nyie kaeni tu mtaani tugombanie mademu
Hatuhitaji vifaru kwenye vita ya kuvizia!
Unajua anaye linda mahali na anaye kuja kuvamia mara nyingi mvamiaji anashinda......