serikali yetu inajua hawa jamaa ndio wale walikuwa wanasumbua mkuranga,kibiti na rufiji baada ya kudhibitiwa walikimbilia msumbijiMsumbiji na sie Tanzania ni majirani, nashauri serikali yetu kama ililala iamke hao watu wasijetuvamia
serikali yetu inajua hawa jamaa ndio wale walikuwa wanasumbua mkuranga,kibiti na rufiji baada ya kudhibitiwa walikimbilia msumbijiMsumbiji na sie Tanzania ni majirani, nashauri serikali yetu kama ililala iamke hao watu wasijetuvamia
Umeona vema mkuu, sasa kuna northen front na southern front.Yale yale ya MKIRU! Mkuranga, Kibiti na Rufiji
Kwa hiyo hao wa Msumbiji Ni nchi gani inahusika?Na hapo ndio wenzenu wanapowachezea akili
Mataifa makubwa yanayo tawala huu ulimwengu yana tumia tofauti zenu za kiimani .kiitikadi .kikabila . kielimu .etc kutuchonganisha wenyewe kwa wenyewe .. Kwa kuyatumia makundi ya magaidi ambayo hupachikwa mwamvuli wa kiimani ili makundi hayo yaonekane kuwa yanalenga kutetea dini fulani ..kumbe nyuma ya pazia utakuta kuna mkono wa USA .FRANCE .ENGLAND .RUSSIA .au Turkey ili watugombanishe halagu wao wachote rasilimali za waafrica.. Yatupasa tuamke aisee tu think nje ya box na kutegua hii mitego ya kipumbavu tunayo tegewa
Tuna safari ndefu sana kuwa na watu wenye mawazo kama yako!Ni kina nani kama si Waislamu waovu (baadhi)?
Kumbuka Msumbiji population yake kubwa ni Wakristo, inamifumo Kristo n.k na hili jambo limetokea na litaendelea kutokea kwa sababu ambayo si uwingi wa Wakristo msumbiji nadhani sababu unaifahamu.
Na uwarabuni je , uwe unawaza Kwa kutumia kichwa mda mwengine, hao wanajiita sio kama waislam wamejipachika jina lengo kualibu uislam hata Mimi naweza nikajiita mfuasi wa Kristo lakini nikafanya mambo tofauti na aliyokua anayofanya au anayokataza Kristo sasa ukisema msumbiji wamefamiwa na hao wanaojiita IS sababu wengi wakristo vipi kuhusu huko uwarabuni ?Ni kina nani kama si Waislamu waovu (baadhi)?
Kumbuka Msumbiji population yake kubwa ni Wakristo, inamifumo Kristo n.k na hili jambo limetokea na litaendelea kutokea kwa sababu ambayo si uwingi wa Wakristo msumbiji nadhani sababu unaifahamu.
Ni wale wale, na wangechekewa basi leo hali ingekuwa kama ya Msumbiji. Serikali inapo wadhibiti siasa kali kama wale Mashehe wa Uamsho wengi wanashindwa kuelewa kuwa vile ndiyo chanzo cha hii hatari na madhara yake ndio haya. Wale jamaa wana pesa na wanaweza mshawishi mtu yeyote kujiunga nao.Yale yale ya MKIRU! Mkuranga, Kibiti na Rufiji
Hakuna kitu kigum kusafirisha kama silaha za kivita pia kuzitumia sio rahisi kwa mtu ambaye hana mafunzo!!Sir, uliyoyaandika ni ya kweli lakini ukiangalia kwa jicho la tano utaona kuwa Msumbiji haifikii utajiri wa rasilimali uliopo Tanzania hata nusu!
Sasa kwanini Tanzania hayatokei? Au sisi tu wajinga hawahitaji kutumia hizo njia ili kuchota rasilimali zetu? Au pengine tumekubaliana na matakwa yao?...
Nje na ulichokiandika hapa.Mkuu ndio maana nimesema ww akili yako ni ndogo, yaani unani unaomba udhibitisho wa yakwamba kama waasi hao wana silaa? Kwahiyo hivyo vita wanavyo pigana na serikali kiasi cha kuishinda nguvu wanatumia madera ya kudangia ya dada yako kupigana hivyo vita au?...
kwahiyo marekani pekee ndiye anaweza safirisha silaha na kugawa pesa ila rusia, china, Iran hawana uwezo kufanya hayo?.Hakuna kitu kigum kusafirisha kama silaha za kivita pia kuzitumia sio rahisi kwa mtu ambaye hana mafunzo!!
Pia sio pesa kidogo! risasi zenyewe tu sio pesa kidogo!
Kuna sehemu nilipo itaja marekani?Nje na ulichokiandika hapa.
hivi ni kwanini tunapaswa kudhani mmarekani pekee ndiye anaweze kufadhili magaidi/ waarifu na sio nchi nyingine?.
ama marekani pekee ndiye uhitaji na materials na sio nchi nyingine?.
China hakuwahi kuwa na koloni Afrikakwahiyo marekani pekee ndiye anaweza safirisha silaha na kugawa pesa ila rusia, china, Iran hawana uwezo kufanya hayo?.
aiseehvyo mji huo mpka sasa hauna Raia yoyote
ujahitaja marekani, lakini ndio mlengo wako uliko.Kuna sehemu nilipo itaja marekani?