Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,961
Duh..US ana lawama jamani...dah...kwann asiwe mchina.mfaransa etc...manaa makampun ya uwekezaj dunian style yao ni1..sana sana uwekezaj wa china africa una mashaka....anawekeza kila kona..y usifkirie hata kusema bas mataifa.imebak US kwenda mbele..aaah jameniUS kwa kivuli cha IS wanasababisha machafuko ili US halisi aje kwa gea ya msaada na mkataba juu achukue rasilimal