Kuna watu wanausingizi usipime, check this

Kuna watu wanausingizi usipime, check this

mtoto wa mfugaj

Senior Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
136
Reaction score
29
Usingizi popote bwana
 

Attachments

  • sleeping-in-weird-places.jpg
    sleeping-in-weird-places.jpg
    17.3 KB · Views: 389
Huyo hajalala, ni vituko tu. Huwezi kulala kwenye tairi mkono ukawa tenge(diagonal) huku umeshikilia nut kwa juhudi hivyo. Isitoshe, hebu angalia miguu inavyochechemea. Miguu ilibidi iwe inaning'inia au inagusa chini kabisa.
 
jamaa kalala kweli lakini funguo za gari anazo kibindoni aliziweka baada ya keroro kuzidi.tehe tehe tehe
 
Dah! Jamaa mfilipino nini? Naona tairi za gari zimechokachoka kibongobongo.
 
Sasa hiii kali hapo tu kalala kama yy ndo dereva inakuwaje? si ajali kibao tu
 


Nadhani anajitahidi kujiepusha na popo bawa...!!!
 
Huyu jamaa lazima ndiye atakuwa alimgawia Wasira robo ya usingizi wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom