Bill gate " kuna virus vipya vinakuja "

Bill gate " kuna virus vipya vinakuja "

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,675
Reaction score
4,923
Nimasikitiko makubwa sana kuona mtu kama Bill Gate akionyakuwa kuna virus vipya vinakuja hii inazua maswali mengi
Bwana Bill yeye amejuaje kuwa virus vipya hatari zaidi kuliko UVIKO-19 vinakuja?
ninamashaka kwamba huenda anahusika kwenye utengenezaji wa virus ili kujiufaisha yeye mwenyewe kwa kutengeneza chanja na madawa
Hadi muda huu kuna virus vinaitwa hantavirus vinasababisha uume kuwa mdogo sana inchi 3 maana yake kwamba kama unakichapio inchi 7 ukipata hantavirus inapungua hadi nchi 3 tu ikiwa imeelect
Mwenye inchi tatu siitaisha jamani 😂
Nilikuwa nashauri mipaka ifungwe kulinda mitalimbo yetu
Baadhi ya maeneo ambayo yanavisa vya hanta virus check apo down
FB_IMG_1778404962245.jpg
 
Na inakausha sauti pia mkuu,
Mi sauti yangu imekwenda na maji.

Ooh,hivi umesema inaathiri uume?😳
Lolpop ipo kuponza makoo aisee🙌🏾
 
Nimasikitiko makubwa sana kuona mtu kama Bill Gate akionyakuwa kuna virus vipya vinakuja hii inazua maswali mengi
Bwana Bill yeye amejuaje kuwa virus vipya hatari zaidi kuliko UVIKO-19 vinakuja?
ninamashaka kwamba huenda anahusika kwenye utengenezaji wa virus ili kujiufaisha yeye mwenyewe kwa kutengeneza chanja na madawa
Hadi muda huu kuna virus vinaitwa hantavirus vinasababisha uume kuwa mdogo sana inchi 3 maana yake kwamba kama unakichapio inchi 7 ukipata hantavirus inapungua hadi nchi 3 tu ikiwa imeelect
Mwenye inchi tatu siitaisha jamani 😂
Nilikuwa nashauri mipaka ifungwe kulinda mitalimbo yetu
Baadhi ya maeneo ambayo yanavisa vya hanta virus check apo down
View attachment 3586504

Acha kutuletea habari za kijiweni
"Hantaviruses primarily affect lungs and kidneys"
hayo ya uume ni ya kwako!
 
61C76957-FB05-46D0-944E-A7C65D2C7703.jpeg
Bill gates sio wa kumuamini asilimia zote!
 
Hanta virus inakuja kuchukua nafasi ya kushikana mabega.
 
Back
Top Bottom