Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,906
Hayo majani ni ya special au ya asili? Mbona kijani kibichi hivyo?
Aisee nimeamini.Siku zote mtori nyama ziko chini
Hii inamaanisha na wao wanataka mavitumbua yaliyo shiba yanayo metameta mafuta?Chupi ya bandia mkuu
Ah ok kama bikira zenyewe ngumu hizo ndio wataweza kuzipata kweliHii inamaanisha na wao wanataka mavitumbua yaliyo shiba yanayo metameta mafuta?
dah naona skuiz wanafoji kila kitu
Hii inafaa sana kwa matumizi hasa kipindi hiki cha mvua
Hawa wenzetu wengi pepo wataisikia redioni tu.Hahahaa si mchezo kumbe kuna mpaka camel toe za bandia...jamani dada zetu Mungu ana waona mjue.