Kuna watu wanadharau watu wa Arusha kwa kumuogopa huyo mtoto Ally Dangote

Bora angeendelea kukaa jela
Mahakama imemuachia kumbe
Wamempa passport ya kifo

Ova
Alikua ana maliza ugali wa magereza mboni km alikua ana nguvu za kuua na kuvunja na kuua kwanini hakupewa kazi za kukata magogo ya kuni za kupikia ugali na maharage ya jela maana jiko la jela huwahalizimwi, magereza ni shule kwanini walishindwa kumbadirisha wakamrudisha kwa hakimu na hakimu akaona hakuna ushahidi akawaachia wananchi waamue pamoja na polisi kifuatacho ni hicho tu na mara nyingi wanafanya hivyo ili warudishwe gerezani wakaendelee kula ugali wa bure huku mtaani waya mkali kule jela na magereza kula bure kulala bure kutwa wanacheza draft na kuvuta Sigara na Bangi tu (usiniulize vinafikaje)
 
kua na hofu au kuogopa, kunasaidi kujianada na kujiweka tayari kwa lolote.

sio kitu kibaya, uoga sio ujinga
Wiki iliyopita tulikuwa tunafundisha masuala ya situational awareness kama sehemu ya security training, tukaambiwa kuwa na hofu na kuchukua tahadhari ni mambo muhimu sana. Watu wengi wanaona taa nyekundu lakini wanapuuzia whishowe wanaumizwa.
 
Wiki iliyopita tulikuwa tunafundisha masuala ya situational awareness kama sehemu ya security training, tukaambiwa kuwa na hofu na kuchukua tahadhari ni mambo muhimu sana. Watu wengi wanaona taa nyekundu lakini wanapuuzia whishowe wanaumizwa.
somo zuri mno mmepata hopefully, wengine huona kawaida sana but for sure ni muhimu sana
 
Mm naishi Arusha lakini hizo habari ndo nimezisikia baada ya huyo dg kuuawa. In short huyo dg alikua ni kibaka wa huko mtaani kwao
 
Uyo dogo angekuja kigamboni asingetoboa mtoto mdogo sana
 
Hata sisi wa Daslaamu msitudharau tunapowakimbia panya road.

Roho haina spare.
 
sawa sawa komandoo kitengo cha habari & mchanganyiko katika jeshi la Jamiiforums
 
Mtu unaambiwa anavaa hijab mara pap umepigwa kisu cha shingo.
 
Kama Arusha tu wamewasumbua sijui wangekuja daslam wangewafanya nini sijui tu yani
 
Hujasema hao Kulwa na Dotto waliishia wapi?
 
Kama Arusha tu wamewasumbua sijui wangekuja daslam wangewafanya nini sijui tu yani
Kuna dogo anasumbua hapo Mbagala anaitwa Rizi One anatabia za ki Ally Bangote 🤪 kasharipotiwa anasakwa yeye anabaka wasichana wanawake mpaka wabibi anapora anakaba Ila hajafanikiwa kuua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…