kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,949
Tunataka kuona matokeo ya hizo kazi kwenye huduma za kijamii, mfumuko wa bei, kuimarika kwa thamani ya pesa kutoka $ 1 kwa shilingi 2300 mpaka shilingi 1,500, watumishi kua na mishahara mizuri, bei ya petroli kushuka kutoka 1,800 aliyoiacha mwendazake mpaka 1,400Tangu Madame ameapishwa, nimejaribu kufuatilia, ukiacha zile siku ameenda Zanzibar kwenye mapumziko ya sikukuu ya Eid, siku zingine zote yupo ofisini anachapa kazi. Kwa hakika, KAZI INAENDELEA.