Kuna watu Wana pesa cheki bill hiyo!

Kuna watu Wana pesa cheki bill hiyo!

Unalinganisha US na TZ....

Hiyo pesa kiTZ ni nyingi sana.

Ki-US hiyo pesa sawa na dola 10k....
10k usd??? sio kweli 10K usd ni sawa na na milioni 26M hiyo pesa hapo milioni tatu na laki tisa ni sawa na 1600 usd. Acha kupotosha!
 
Inaonekana huyo mteja hakuwa peke yake, walikuwa kampani ya watu 6/7 hivi ukiangalia vyakula walivyoagiza

Kwa hiyo bill wakigawana kulipa, roughly kila mmoja atalipia 563,400 hivi

Siku hizi Wanawake wengi wanafanya sana mitoko ya pamoja na marafiki

Wanaagiza vyakula+Vinywaji n.k Kwa bill ya kuchangia donations
Baada ya kuvunja kikoba
 
Nimetoa FB tena ya mwezi huu tarehe za mwishoni aisee wakuu si mnisaidie hela ya mlo mmoja tu usiku
Bro hold my beer😂
IMG-20250317-WA0015.jpg
 
Inaonekana una kaushamba flani..hiyo bill mjini hapa watu wanapiga collaboration watu hata kumi wanashare cost kila mmoja 300k.
 
Unalinganisha US na TZ....

Hiyo pesa kiTZ ni nyingi sana.

Ki-US hiyo pesa sawa na dola 10k....
Hapa ume chemka Usd 10k = $10,000
ndo iwe iyo pesa ya madafu ume tumia rate ya Burundi!?...
 
Hela ya kawaida tu sema pesa ya Tanzania haina thamani.

Hiyo pesa haijafika hata US $1,500.

Weekend iliyopita tumeenda dinner ya familia bill imepita kidogo kama $ 1,000 na kalipa mtu mmoja tu.

Mtu wa kawaida tu wala si wa mashauzi.

Hajapiga picha wala ku post kwa sababu we do this regularly.
Wewe nae unaleta hoja za samia eti deni la taifa ni dogo sema tu likitajwa kwa shilingi linaonekana ni kubwa. $1000 sio hela ndogo hata kidogo jana, leo hata kesho
 
Wewe nae unaleta hoja za samia eti deni la taifa ni dogo sema tu likitajwa kwa shilingi linaonekana ni kubwa. $1000 sio hela ndogo hata kidogo jana, leo hata kesho

Strawaman argument logical fallacy mimi sijaongelea deni la taifa.

Hela kubwa au ndogo inategemea muktadha, uwezo.

Kuna mtu alinipa zawadi noti ya shilingi 1000, kama kunikumbusha Tanzania. Nikamuonesha Mmarekani mmoja, sasa yeye kuona ile 1000 akafikiri ni hela kubwa sana. Nukamuuliza unajua thamani yake hii, it is less than fifty US cents.

Hela ya Tanzania haina thamani. Huelewi wapi?
 
Strawaman argument logical fallacy mimi sijaongelea deni la taifa.

Hela kubwa au ndogo inategemea muktadha, uwezo.

Kuna mtu alinipa zawadi noti ya shilingi 1000, kama kunikumbusha Tanzania. Nikamuonesha Mmarekani mmoja, sasa yeye kuona ile 1000 akafikiri ni hela kubwa sana. Nukamuuliza unajua thamani yake hii, it is less than fifty US cents.

Hela ya Tanzania haina thamani. Huelewi wapi?
Sawa, ila bill iliyopostiwa hapa ya zaidi ya tsh 3m ni pesa nyingi sana. Uibadilishe kwa sarafu yoyote bado ni pesa nyingi. Kwa Tanzania wanaoingiza pesa hiyo kwa mwezi hawawezi kufika hata 30% ya population.
 
Back
Top Bottom