antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 49,793
- 130,743
Aisee,
Kama Kidimbwi tu
Kama Kidimbwi tu
Hata Tanzania kuna mtu wangu wa karibu hapa anatoa sadaka shilingi milioni 100 kujenga kanisa, kimyakimya, bila makeke.Unalinganisha US na TZ....
Hiyo pesa kiTZ ni nyingi sana.
Ki-US hiyo pesa sawa na dola 10k....
Huku hali ngumu. Hiyo bili ni kama pato la wastani la mtz kwa mwaka. Ni kama mtu wa US atumie labda milioni 200 za bongo kwa mtoko mmoja.Hela ya kawaida tu sema pesa ya Tanzania haina thamani.
Hiyo pesa haijafika hata US $1,500.
Weekend iliyopita tumeenda dinner ya familia bill imepita kidogo kama $ 1,000 na kalipa mtu mmoja tu.
Mtu wa kawaida tu wala si wa mashauzi.
Hajapiga picha wala ku post kwa sababu we do this regularly.
nikukumbushe million 3 ni dola elfu mojaNimetoa FB tena ya mwezi huu tarehe za mwishoni aisee wakuu si mnisaidie hela ya mlo mmoja tu usiku 😳
View attachment 3482005
Sawa lakini kuna levels usifikiri kila mtu anaishi level yako.Huku hali ngumu. Hiyo bili ni kama pato la wastani la mtz kwa mwaka. Ni kama mtu wa US atumie labda milioni 200 za bongo kwa mtoko mmoja.
Halafu real spenders huwa hawana haya mavurugu, wapambe ndiyo wapiga mapicha ili waka vimbie wenzao.Hela ya kawaida tu sema pesa ya Tanzania haina thamani.
Hiyo pesa haijafika hata US $1,500.
Weekend iliyopita tumeenda dinner ya familia bill imepita kidogo kama $ 1,000 na kalipa mtu mmoja tu.
Mtu wa kawaida tu wala si wa mashauzi.
Hajapiga picha wala ku post kwa sababu we do this regularly.
Levels.Sawa lakini kuna levels usifikiri kila mtu anaishi level yako.
Juzi nilikuwa naongea na mdogo wangu mmoja analalamika ana pesa ndogo sana kwenye hizo funds za UTT sijui mnaita, hizo za kuweka na kupata around 10% - 15% kwa mwaka.
Anasema ana kama shilingi milioni 300 tu, pesa ndogo sana akijilinganisha na wenzake.
Hapo kwa return ya 10% -15% anakwenda na return ya shilingi milioni 30 mpaka 45 kwa mwaka. Na hizo ni pesa ambazo kaziacha huko maisha yake hayazitegemei.
Baada ya miaka 6 zinakuwa zaidi ya double.
Sasa huyo katika ligi yao ndiye anajiona yeye hana pesa.
Anasema kuna Wakinga wanapesa kama masanduku ya BOT.
Wanalimbuka bado. Ni haki yao ya kikatiba.Halafu real spenders huwa hawana haya mavurugu, wapambe ndiyo wapiga mapicha ili waka vimbie wenzao.
Basi mwana, maana kila uzito na mzani wake😂Wanalimbuka bado. Ni haki yao ya kikatiba.
Mimi nilifikiri mtu ana ball hizo figures in USD.
Nilivyoona maji ya Kilimanjaro tu nikasema hakuna issue hapa 😂😂😂
Hela yenyewe hata juicers (alcohol free since January 1, 2024) mbili za Kuvings sijapata.Basi mwana, maana kila uzito na mzani wake😂
Hiyo tab ya masaa 7 na inaelekea ni party au get together iliyosimamiwa na mtu mmoja. Kwa Dar mimi sitoshangaa na hasa kwa madem. Maana hata uswahilini hiyo tab kama ni ya birthday mtu mmoja anasimamia sema group litakuwa kubwa.Nimetoa FB tena ya mwezi huu tarehe za mwishoni aisee wakuu si mnisaidie hela ya mlo mmoja tu usiku 😳
View attachment 3482005
Dah ume nikumbusha lile li juicer, dude lile mwana.Hela yenyewe hata juicers (alcohol free sincw January 1, 2024) mbili za Kuvings sijapata.
Levels.
Yes, kwa Tanzania hiyo ni hela kubwa sana.Kwa TZ tena Kwa Hali na mazingira ya asilimia kubwa wanapotokea hiyo ni pesa nyingi Sana Kwa usiku mmoja lazima ushangae, Kila kitu kina level. Wapo wanaoona hata ukispend elfu kumi Kwa mlo mmoja Tu wewe ni tajiri. Haya mambo ni levels Tu.