Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,016
- 177,323
Ni kuridhika na unachopata tu easy!
Tamaa ilimponza fisi
Mkuu,Sawa, ila bill iliyopostiwa hapa ya zaidi ya tsh 3m ni pesa nyingi sana. Uibadilishe kwa sarafu yoyote bado ni pesa nyingi. Kwa Tanzania wanaoingiza pesa hiyo kwa mwezi hawawezi kufika hata 30% ya population.
Hilo nakubali, ukubwa au udogo ni relative. umeona huyo dogo hiyo $2000 inaenda kumsogeza na kumkwamua kwenye mishe zake wakati wewe imekuwa ni kiasi kidogo tu cha kumsaidia. Sasa zaidi ya asilimia 70 ya watz hiyo 2000 ni ndoto kuishika kwa mkupuo na ndio maana nasema ni kiasi kikubwa sana hicho na ni mtaji mzuri tu na mtu anavimba nacho kitaa.Mkuu,
Juzijuzi hapa kuna dogo namjua kanililia anahitaji dola 2,000, vyuma vimebana, kuna mambo anataka kufanya, nimemtumia.
Hiyo si kunywa wala kula mimi.
Nimemtumia tu. Dogo namjua tu projects zake ninezielewa, wala si ndugu yangu.
Usiseme hela kubwa, sema hela kubwa kwako.
Tena ukiwakuta wale wanaojiita ma BFF age go mishangazi ya kwenda ni balaa.Hakika, wengi wanafanya baada ya kuvunja vikoba vyao
Hapo ni full Bata 🤗
Nahisi ndiyo kama huyo aliyeshika risitiTena ukiwakuta wale wanaojiita ma BFF age go mishangazi ya kwenda ni balaa.
Pepsi ya chupa 4,500. Lazima ifike. Mshikaki mmoja 9,000?