Mkuu usisahau kuwa kuna kodi, kuna matengenezo, matumizi ya kawaida utakuta hizo laki 3 kiuhalisia yeye anapata faida kama 30,000 kwa siku. Wengi waliojenga hizi nyumba wana mikopo usiombe. Mfano mzuri wanatakiwa kulipa City Service Levy ambayo ni 0.3% yake. OSHA, fire etc