Hyrax
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 1,351
- 3,878
Mtu unamwambia sipendi kupigiwa simu napendelea sms tu mtu bado anasumbua anataka muongee (voice call) mpaka nimemuliza hivi kuna njia moja tu ya mawasiliano ?
Yaani watu hamuwezi kungumza bila sauti zenu kuhusika, ? Watanzania tujifunze kuheshimu haiba za kila mtu mimi binafsi napenda kuandika kuliko kuongea kwenye simu Hiyo ndio haiba yangu wewe kama unapenda kuongea basi heshimu mtu asiyependa kuongea na si kulazimishana na kupeana lawama za kipuuzi.
Watanzania wengine mkoje kwani?
Yaani watu hamuwezi kungumza bila sauti zenu kuhusika, ? Watanzania tujifunze kuheshimu haiba za kila mtu mimi binafsi napenda kuandika kuliko kuongea kwenye simu Hiyo ndio haiba yangu wewe kama unapenda kuongea basi heshimu mtu asiyependa kuongea na si kulazimishana na kupeana lawama za kipuuzi.
Watanzania wengine mkoje kwani?