Gody
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 1,249
- 417
"Sasa" nimependa uandishi wako
teh! teh! teh! si unajua ukiwa na shughuli nyingi na ni mchana 'sasa' upo kwa job unaandika huku unatoa huduma!!
"Sasa" nimependa uandishi wako
wazee wa saccos za kiyesuyesu mkuuhana kitu bado mnataka Mkamkamue kwa kina mwingira,Gwajima,Mama Lwakatare na Kakobe??
wazee wa saccos za kiyesuyesu mkuu
cha kuogopa ni kitu gani hapo? it appears many Tanzania are still extra-superstitious, and it could be another factor holding us back, 52 yrs down the road.