Ni bangi au mapepo!!!
Hiyo mbona kawaida uswaz!!
Af naye kalala kiboya hajui kuwa kalalia antena wenzie wanafuatilia tbc1 updates mbalimbali!!
Mim stasahau matukio haya ma 2
1: kuna babu m1 alikuwa jiran sasa si mnajua huku kwe2 tz majiran mnaenda kuchmba kabr sasa kule huwa kuna stor tofaut tofaut! Sasa kuna wahun wa2 wakawa wanaenda kwenye makabur yenye maua mazur mazur wanachukua wanaweka kwa kabur la babu yao
yaan wanamuenzi kwa maua ya wizi!!! Sasa hiyo 1.
2:sasa miezi mi2 iliyopta rafki yetu alifark kama kawaida ndg, jamaa na marafk tulikwenda kuchimba kabur
sasa kama kawaida kabur likikaribia kuisha stor, makelele na kutembea tembea kupo, sasa kuna mpga debe naye alikuwepo alichukua bonge la mshumaa ukubwa wake kama kopo la 1litre la maji ya uhai na masaa yaliyo andikwa kuwa linawaka masaa 105 ndo linazma na pale lilikuwa limezima 7bu ya upepo
jamaa alichukua akasema anapeleka geto na kwel jamaa akaondoka nao!!
Hizi ni bangi tu
hana kitu bado mnataka Mkamkamue kwa kina mwingira,Gwajima,Mama Lwakatare na Kakobe??Ni bangi au mapepo!!!Kwa vyovyote anahitaji maombi.