Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,694
- 4,646
mmmmmmh haya pole
mmmmmmh haya pole
Pole mdogo wangu... ila kuna maisha mengine zaidi ya kujazaa japo kiuhalisia inauma ila sasa zngatia afya yako kwanza ndio mpango mzima mengineyo Mungu atajua namna ya kukuvusha. Pole sana mydia!
Mungu akuangazie nuru katika giza ulionalo, lakini jua katika jambo lisilowekana kwa mwanadamu kwa Mungu lawekana, jua pia Mungu ndie mratibu wa maisha yetu kwamba nani awe nani na weje ni juu yake hivyo yaache mapenzi yake tatimizwe, Tubu sali sana na endelea na maisha na mipango yako kama hakuna chochote kilicho kutokea, kila la heri mr.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Pole sana mkuu...
Pole usikate tamaa ya maisha! kwanza kwa sasa kazania masomo ili uwezekufaulu vizuri kwani ukifeli unakuwa unaongeza tatizo juu ya tatizo. Maisha ni zaidi ya motto. Na motto si lazima uliyezaa mwenyewe kuna arrangement unaweza fanya ukapata motto kwa njia nyingine. Ukianza kijishuku mwnyewe utaloose confidence. Kuna mambo mengi ya kufurahia maisha.