Kuna watu hatuna bahati

Kuna watu hatuna bahati

maombi pia yana nguvu. mtafute mtumishi wa Mungu TB Joshua. Mungu anaweza kukufungua kupitia yeye. pole sana
 
Pole sana ila kisukari sio tiketi ya kutopata mtoto, watu wengi sana wana kisukari na wana watoto, either una tatizo la uzazi au Dr alikupa hilo angalizo kama tahadhari. Kazana na elimu kwa sasa na zingatia afya yako mengine yatafuata na yanawezekana
 
maombi pia yana nguvu. mtafute mtumishi wa Mungu TB Joshua. Mungu anaweza kukufungua kupitia yeye. pole sana

Mwanaume anamuomba Mungu mwenyewe huku anapambana kiaskari hayo ya kuombewa na matapeli kama TB Joshua sijui gwajima and the likes tunaachia wanawake
 
Ndugu mimi natumia id ya nsanzu, ila .ni,nimeingia wa Id ya jamaa yangu. Hebu nitafute tuzungumze nina imani hilo swala lako litaisha. Trust me. 0686907486, 0718265581
 
Pole na Matatizo unapokata tamaa kama hivyio ni kumkufuru Mungu hayo maelezo kakupa Dr. ambae ni binadamu kama wewe, kumbuka kuna Mungu hutoa pasipotegemewa......kwa kukata kwako tamaa ndo yatamia yale alosema dr...mana sasa shule ukiboronga jua ndo na maisha unayaharibu...tuliza akili soma kwanza, tafua ajira yako halafu anza matibubu...UMEAMBIWA HAYO MARADHI MTU HAPONI???? KAMA SPERM HAZINA NGUVU UMEAMBIWA HAKUNA DAWA ZA KUNYWA WALA SINDANO ZA KUCHOMWA UKAWA SAWA???.....SOMA, PATA KAZI NDO UANZE KUJITIBU UTAPONA NA UONGEZE MAOMBI KWA MUNGU WANGO...Na huna haja ya kumwambia rafiki wala ndugu watakustress baadae mana urafii wa sasa wengi magumashi, unaweza ukawa na msichana mzuri tu kabla hujamwambia jamaa kampenyezea umbea hata kabla hujajiandaa kumeleza mwenza wako, na hutajisikia raha kukuta jambo lako liko mitaani, kuepuka hayo ukijisikia kusema siri zako, ongea na mungu wangu wakati wa swala...MTOTO UTAPATA TU, KWA JUHUDI ZAKO NA KWA UWEZO WA MUNGU, Kama kuna masharti ulopewa na dr. yafatwe kikamilifu... utashangaa uko sawa baadae.
 
Naitwa edward na find girlfind age 18-21 nitampenda na kumjali call me 0755923892
 
pole hayo ni majibu ya dactari ika kumbuka kuna Mungu anayetibu yote ukimwamini ktk jina la yesu
anza kumtafuta Bwana yesu umpe maisha yako utashangaa atakavyokuponya yote
biblia inasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
 
Tulia kazna kwenye masomo, pata ushauri nasha uondo stress, zingatia sana kanuni za kuishi na kisukari ili usipate matatizo, afya yako ya akili na mwili ikiimarika, mengine yatachunguzwa baadae na pengine yanaweza kupatiwa ufumbuzi
 
Ndugu mimi natumia id ya nsanzu, ila .ni,nimeingia wa Id ya jamaa yangu. Hebu nitafute tuzungumze nina imani hilo swala lako litaisha. Trust me. 0686907486, 0718265581
ok mkuu ntakutafuta,asante sana kwa kujali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom