Dollar hermees
JF-Expert Member
- Sep 14, 2013
- 520
- 1,055
Tafuta hela kwanza hao mademu wa kuvaa viatu vya manyonya ni vichomi
😂😂😂 Broo picha ya huyu demu namjua kabisa tena instagram anatumia tanasha_zanzibar alafu nyingine anatumia sijui nan mbise maan ana akaunt mbili za instagram, ni dem mmoja ivi amaizing xan mm nishakutan nae live alikuja hotel moja hivi hapa zanzibar inaitwa melia hotel mzee huyu dem inabad ujipange xan nahisi analiwa na mawaziri....🙂🙂🙂Unakuta mwanamke ana sura nzuri makalio makubwa hips pana, kifua chuchu saa sita, mrefu kiasi, rangi nzuri, anavaa vizuri na ananunikia marashi.
Wanawake kama hawa mimi huwa nawaweka katika kumbukumbu zangu. Najua kabisa kwa sasa nikisema niwatongoze hawatanikubalia bado sina hela kihivyo. Nazichanga zikiwa nyingi nyingi ndio nawatafuta niwe nao kimapenzi.
Kuna mabinti kadhaa mtaani lazima nitawatafuna nikiwa vizuri hata kama wameolewa. Wengine wapo instagramu lazima niwatafutege nikiwa vizuri kiuchumi.
View attachment 1222005
DAA HATA MIMI MZEE,miguu ina matterOkk....me upande wangu uzuri wa mwanamke naangalia kwanza miguu.....kwahiyo huyo hapo juu kwangu sio mzuri....
UbarikiweMkuu inaonekana "utoto" bado unakusumbua sana lakini ukikua kiakili utatulia na kuwaona hawa viumbe ni kama maua tu, leo yanachanua vizuri na kesho yanasinyaa na kukauka. By the way ukiwa kama binadamu unapaswa kutambua ni kwanini unaishi na MUNGU anataka nini kutoka kwako. Nina imani hujazaliwa duniani ili "uwavue" chupi Wanawake wowote unaowatamani. Lipo kusudi la kwanini unaishi. Jitahidi sana ulijue hilo "kusudi" ili usije kupotezwa na tamaa za macho.
Unakuta mwanamke ana sura nzuri makalio makubwa hips pana, kifua chuchu saa sita, mrefu kiasi, rangi nzuri, anavaa vizuri na ananunikia marashi.
Wanawake kama hawa mimi huwa nawaweka katika kumbukumbu zangu. Najua kabisa kwa sasa nikisema niwatongoze hawatanikubalia bado sina hela kihivyo. Nazichanga zikiwa nyingi nyingi ndio nawatafuta niwe nao kimapenzi.
Kuna mabinti kadhaa mtaani lazima nitawatafuna nikiwa vizuri hata kama wameolewa. Wengine wapo instagramu lazima niwatafutege nikiwa vizuri kiuchumi.
View attachment 1222005
Huyu Mimi Nina namba yakeHuyu sio mzuri?View attachment 1222067