Kuna wanawake wazuri balaa!

Kuna wanawake wazuri balaa!

Mkuu umepiga Muccobs kumbe? Yule makaaya_og sura haipo vizuri lakini tako na shepu ndo sio mchezo...
Eeh mkuu, yule ni dadaake...mnduku upo haswaa ila reception ndio sio kivile.
 
Kila mbuzi hula kutokana na urefu wa kamba yake. wewe kamba yako inafikia kwenye michongoma kula michongoma subiri mchungaji aje akuhamishie kwenye miba bamba.
 
Maisha ya mitandaoni

Inisitagaramu Kila mwanamke ni mzuri, mweupe anakula hotel kubwa, anajua kiingereza......

Huku JF kila mtu ana gari, ni msomi, yupo hapo mjini kati....
Mkuu umesahau Jf pia hakuna mwanaume mwenye kibamia. Wote wana mihogo ya jang'ombe na raundi ya kwanza ni dk 30-45.
 
Wenyewe wabongo wanakwambia wa hivyo nyuchi zao ndio ziumiazo...
 
Mkuu wala usidate na huo uzuri wa nje ,wengi wao pussy zao zinatoa harufu kama mizoga .Tuulize sisi tulio field ya afya ndo tunakumbana nao wanavyokuja kufanya vipimo na malalamiko kibao kuwa migodi inatemaaaaaa uvundoooooooo
Hahaa wanakuja kupima nyapu zao ? ,pole watu wa afya mnavumilia mengi
 
Back
Top Bottom