Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,309
- 4,017
Sikatai chakula ni chakula tu, ila hakuna asiyependa kula mapocho pocho. Usijitetee eti hautaki kulisha masumu ya kizungu watoto wako hahahah, mara nyingi msosi nyumbani kwao hawa jamaa inabaki tu basic ya Mtanzania wa kawaida:
Ila kwa mwajuma miguu pande mkikutana mara 4 au 5 kwa wiki;
- Ugali dagaa tembelee,
- Chai na vitumbua vya mama salma mtaani,
- Wali maharage nyama,
- Jumapili ndio ugali kuku,
- Pilau ni siku za sikukuu.
- Mke anaambiwa atumie vizuri sukari na mafuta vimepanda bei.
Ila kwa mwajuma miguu pande mkikutana mara 4 au 5 kwa wiki;
- Kitimoto na chachandu, castle light, nyagi
- Pizza hut
- KFC
- Chips zege kuku mkavu